Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Paula ni mrembo , na celebrity haya mambo ni kawaida , wazazi ni celebrity unachomokaje wazee, .... Kama vip wamchukue wampeleke uingereza huko Kwa dada ake Ila huku akina domo watapita naye tuu ....

Alaf kuna sku Paula atampeleka Pfunk India kutibiwa ndo mshangae sasa
 
Paula ni mrembo , na celebrity haya mambo ni kawaida , wazazi ni celebrity unachomokaje wazee, .... Kama vip wamchukue wampeleke uingereza huko Kwa dada ake Ila huku akina domo watapita naye tuu ....

Alaf kuna sku Paula atampeleka Pfunk India kutibiwa ndo mshangae sasa
Paula anamiaka mingapi
 
Paula ni mrembo , na celebrity haya mambo ni kawaida , wazazi ni celebrity unachomokaje wazee, .... Kama vip wamchukue wampeleke uingereza huko Kwa dada ake Ila huku akina domo watapita naye tuu ....

Alaf kuna sku Paula atampeleka Pfunk India kutibiwa ndo mshangae sasa
Umewaza mbali mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tuseme shule ameacha !! Yule sio underage maana kibongo bongo form 4 wengi humaliza na 17 au 18 years sasa huyo mtoto wenu amemaliza lini hadi awe chini ya umri?
Nani kakuambia lazima umalize form four na miaka 17 au 18? Siku hizi watoto miaka 15 au 16 wanamaliza form four, hiyo 18 ni enzi zetu ambapo tulikuwa tunaanza shule na miaka 9 au 10 ukipiga mahesabu ndo utapata form four 18, lakini hawa wanaanza standard 1 na miaka 5 piga hesabu 5+7+4=16
 
Nani kakuambia lazima umalize form four na miaka 17 au 18? Siku hizi watoto miaka 15 au 16 wanamaliza form four, hiyo 18 ni enzi zetu ambapo tulikuwa tunaanza shule na miaka 9 au 10 ukipiga mahesabu ndo utapata form four 18, lakini hawa wanaanza standard 1 na miaka 5 piga hesabu 5+7+4=16

Naona unalazimisha awe underage tuseme form 4 kamaliz na hiyo 16 sawa amehitimu mwaka gani ?
 
Back
Top Bottom