Sawa kuna mtu amesema ,sheria inasema mtoto wa miaka 18 na kuendelea anajitambua.Kampe mimba utapata majibu, huko juu mtu kasema kuna jamaa alimla mdogo wake form six akarekodi picha chafu. Yupo anakula sembe la gerezani
Sijakataa kuna watoto special wengine wanarushwa darasa na wengine wanaanza mapema,vip kwa kesi ya Paula je yeye kwa sasa ana miaka mingapi au naye alirushwa darasa au aliwahi kuanza?Hivi unajua shule binafsi watoto hawafiki darasa la saba, huishia la tano kupelekwa form one? Wanakuja kuingia wana miaka 11 au 12 wanakuja kumaliza form four na miaka 14 au 15...
kwaniniSiyo mwanafunzi yule
Kama kuna kosa la jinai iweje asamehewe na wazazi?si wanamuita Chui hahaha ngoja wamzamishe kwenye maji......Ray vanny anamakosa na anastahili kifungo cha 30years kitakachomuokoa labda busara tu za wazazi wa binti.......ila hapo unaweza msamehe ila baada ya week wanaanza toa vijembe kama kawaida yao kuwa chui hafungwi......
Mkuu kwahiyo wazazi waiachie jamhuri ideal na kijana?Kama kuna kosa la jinai iweje asamehewe na wazazi?
Jinai yoyote huwa ni kati ya Jamhuri vs Mtuhumiwa, mtendewa huwa kama shahidi tu
umeishia la ngapi Mkuu ?? Umesoma soma kidogo?Grade one siyo standard one.. Acha kukariri.. Grade one ni chekechea
Harmonize kazingua Sana kaona Kiki isimpitePaula Kajala ni kigoli
Kamaliza form mwaka 2018 tupige hesabu hii tujue miaka yake.....
Miaka 18 huna kesi,sheria inasema below 18 yrs but 18 yrs and above huyo ni mtu mzima.Ni kwamba Paula anafikisha miaka 19 mwaka huu July..so bado yupo 18. Rayvanny ana kesi ya kujibuView attachment 1703326
Malaya hawezi kuzaa mchunguji hata siku mojaRay Vany Kurekodi Video akiwa anafanya ngono na Mwanafunzi ((Paula Mythes) Tanzania inabeza Sana na Tunachukulia Poa Hivi Vitu...Issue ya RayVanny Ingekuwa kwa Wenzetu Angepoteza Vitu Vingi Sana, Deals and Endorsements plus Angekuwa Cancelled kwenye Game.
Serikali pia waangalie hili
Adhabu Kali impate kijana huyu liwe funzo
Britannica
Aisee..Miaka 18 huna kesi,sheria inasema below 18 yrs but 18 yrs and above huyo ni mtu mzima.
Kwa wenzetu ulaya hata ukifanya mapenzi na binti below 18yrs una kesi ya kujibu,ila kama ana miaka 18 na kuendelea kesi hamna hapo.
Ukishakuwa na mke,dem,dada bongo movie au bongo fleva hesabu maumivu tuMama anadanga mtoto anajua mabwana wa mama wote,hapounategemea maadili gani....huyo mtoto wenzake wako frm 6 au wamemaliza yeye yuko busy kuzurura na mama yake...wadada wa bongo movie ni majanga
Ipo hivyo ila hiyo post yako yenye picha imekata mzizi wa fitina kesi hamna hapo.Aisee..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu amekula tayari lakini Umaarufu wake utamponzaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Alafu lije lituadithie kablaa havijaumanaa..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
St Anne Marie - mbeziNisaidie kushangaa na Mimi Paula baada ya kufeli kidato cha NNE alirudia shule gani ?
Haswaaaah umemalizaaaah.Una utani kijanaa Kampe mimba mwanafunzi wa Form Five mwenye Miaka 20 alafu ndo utajua hujui[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]