Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Hakuna kitu kama hicho...hapa kweny uanafunz kashafeli...kwanza to be honest yule mtoto kwa maisha anayopenda yabata hana hata mpango wa advance.. pale anawaza akaanze certificate mjini IFM

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Kwamba IFM ndo wanapokea watu aina ya Paula? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna ugumu hapo , Paula ndo final say....!!! Usikute ashamwambia mama ake mi nataka niwe assigned na label ya rayvann[emoji1787][emoji1787][emoji2957]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee utakua m rayvan tyuuh, sio kwa utetezi huu khaaaah
 
Wengine hawa hapa wamejitokeza wanao mtaamani Paula, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba IFM ndo wanapokea watu aina ya Paula? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sina maana mbaya...yani yule kwa mentality yake anahis akiwa ifm atakua yupo mjini posta na atasumbua mji....ila the bad thing cary na sup and plus kurudia mwaka vitamuhusu... reference ni posh queen [emoji3]
 
Kitu ninacho jivunia kwa Ray ni kuwakilisha vyema mabaharia
Ni mwanaume punguwani Tu anayeweza kumlaumu Rayvanny Kwa Yule mtoto , mtoto full package kama Yule labda uwe husimamishi mkonga😋
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halali ndugu yangu alikataa kwenda IFM, kumbe ndo chaka la slay queens na connection za pornhub. Khaaaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…