Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Hakuna kitu kama hicho...hapa kweny uanafunz kashafeli...kwanza to be honest yule mtoto kwa maisha anayopenda yabata hana hata mpango wa advance.. pale anawaza akaanze certificate mjini IFM

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Kwamba IFM ndo wanapokea watu aina ya Paula? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna ugumu hapo , Paula ndo final say....!!! Usikute ashamwambia mama ake mi nataka niwe assigned na label ya rayvann[emoji1787][emoji1787][emoji2957]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee utakua m rayvan tyuuh, sio kwa utetezi huu khaaaah
 
Kama kuna kitu kinaniumiza roho wiki hii yote basi ni yule mtoto paula wa kajala, nia na madhumuni yangu yote ni kuja siku moja nimuweke hata ndani yule mtoto

Kila nikimuonaga kwenye page yake huyu binti hali inabadilika napataga hisia za ghafla tu na hasa hisia za kuoaoa, yani machoni mwangu kale katoto nakaona kamekamilika kila idara yani kifupi ile ni package, kila mtu na mtazamo wake machoni kwaio tunaweza pia kutofautiana

Sasa tangu majuzi nione zile clip yupo na yule jamaa aisee nakosa raha mwenzenu daah sijui nisemaje, aisee sijui niseme nimekata tamaa sijui niseme namuonea wivu yule jamaa yani sijui nisemaje

Lakini yote juu ya yote yote yatakwisha na nitampata tu na nitamuonga kamshahara kangu kote
Wengine hawa hapa wamejitokeza wanao mtaamani Paula, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwamba IFM ndo wanapokea watu aina ya Paula? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sina maana mbaya...yani yule kwa mentality yake anahis akiwa ifm atakua yupo mjini posta na atasumbua mji....ila the bad thing cary na sup and plus kurudia mwaka vitamuhusu... reference ni posh queen [emoji3]
 
Sina maana mbaya...yani yule kwa mentality yake anahis akiwa ifm atakua yupo mjini posta na atasumbua mji....ila the bad thing cary na sup and plus kurudia mwaka vitamuhusu... reference ni posh queen [emoji3]

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halali ndugu yangu alikataa kwenda IFM, kumbe ndo chaka la slay queens na connection za pornhub. Khaaaaaaah
 
Back
Top Bottom