Paula anamiaka mingapiPaula ni mrembo , na celebrity haya mambo ni kawaida , wazazi ni celebrity unachomokaje wazee, .... Kama vip wamchukue wampeleke uingereza huko Kwa dada ake Ila huku akina domo watapita naye tuu ....
Alaf kuna sku Paula atampeleka Pfunk India kutibiwa ndo mshangae sasa
Ummy mwalimu sio msanii
Hao watoto hawapo kwenye uwanja wa kutajwa tajwa , huyo ummy kila sku kutembea na watu wa heshima sa ngap wajuba tutawafaham hao wadada , wakiwa exposed Wana tunawala kama kawa ....sawa mkuu japo nayeye yupo kwenye spotlight kutokana na title yake....she has the best girls aiseh.
Maisha ya msanii yamejawa na sanii, na maisha ya mwana siasa yamejawa na siasa. Vitu viwili tofauti.sawa mkuu japo nayeye yupo kwenye spotlight kutokana na title yake....she has the best girls aiseh.
Umewaza mbali mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]Paula ni mrembo , na celebrity haya mambo ni kawaida , wazazi ni celebrity unachomokaje wazee, .... Kama vip wamchukue wampeleke uingereza huko Kwa dada ake Ila huku akina domo watapita naye tuu ....
Alaf kuna sku Paula atampeleka Pfunk India kutibiwa ndo mshangae sasa
Nani kakuambia lazima umalize form four na miaka 17 au 18? Siku hizi watoto miaka 15 au 16 wanamaliza form four, hiyo 18 ni enzi zetu ambapo tulikuwa tunaanza shule na miaka 9 au 10 ukipiga mahesabu ndo utapata form four 18, lakini hawa wanaanza standard 1 na miaka 5 piga hesabu 5+7+4=16Tuseme shule ameacha !! Yule sio underage maana kibongo bongo form 4 wengi humaliza na 17 au 18 years sasa huyo mtoto wenu amemaliza lini hadi awe chini ya umri?
Mimi nimetoa tahadhari tu kutokana na video zinazosambaa, mambo ya ushahidi ni mahakamani.na hata kama hili jambo ni la kweli litaenda kisiasa na hakuna kitakachoendelea.
ila mtoa mada umejuaje kama hao ni wapenzi unaushahidi gani je kama wanashoot?
Nani kakuambia lazima umalize form four na miaka 17 au 18? Siku hizi watoto miaka 15 au 16 wanamaliza form four, hiyo 18 ni enzi zetu ambapo tulikuwa tunaanza shule na miaka 9 au 10 ukipiga mahesabu ndo utapata form four 18, lakini hawa wanaanza standard 1 na miaka 5 piga hesabu 5+7+4=16
Sheria Itamfyatua Ailaumu SerikaliAnakula nyala za serikali kijana.......... Shauri yake.
Baadaye utasikia Kajala na Paula wanamgombania HamonizeNnimeumia kama Mzazi aseeehhh!!KAJALA amefeli sana kimaleZi. Maisha yake ya hoovyo aliyoishi naona anayapeleka kwa mtoto! Daah!Tuombee vizaZi vyetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yake alisema amezaliwa 2004 kwahiyo kwa vyovyote vile ni underageNaona unalazimisha awe underage tuseme form 4 kamaliz na hiyo 16 sawa amehitimu mwaka gani ?