Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

hii ni mbinu CHAFU ya wasafi na genge lao lile likiongozwa na boya nasibu nyange , kwakua wameona harmonize alikua anatrend zaidi ya wiki sasa na ana nyimbo mpya inakuja, wakaona sasa ngoja watumie mbinu chafu ya kutembea na mtoto wa kajala ambaye harmonize ana date naye, harmonize kua in love na kajala sio kosa na wote ni watu wazima, sasa wao wakaona ngoja tumkomeshe kwa kutembea na binti yake.. mbinu hio hawakujali kua hata kama itawaharibu profile mtoto mdogo kama paula, na wazazi wake, wao lengo lao ilikua ni kuharibu Kabisa trend ya harmonize sababu ya chuki kubwa waliyonayo kwake , japo wamefanikiwa lakini hii itakuja ku backfire vibaya sana ...Mimi ningekua Ndio baba wa huyo mtoto japo kama mzazi naelewa kadhia hii mbaya nisingejali kama ni nasibu wala nani amehusika, ningehakikisha chain yote iliyohusika naimaliza yote , either wafe au waende gerezani.
 
Gerezani hawaendi wenye hela kirahisi.. now Rayvan ana pesa na connection kubwa Ndani ya Selikali kuliko Majani.. hivyo siyo rahisi Kama unavyodhani.
 
Van boy kasema atatoa mahari Kwa Mzee masanja , mpenz wake ana chembe za mwanza , tunazdi kulifatilia Kwa ukarbu hili swala

Your browser is not able to display this video.
 
Mkuu usimalize maneno na usihukumu kabla ya kusikiliza...mambo mengine yatakutia aibu ukweli ukiwa wazi.
 
Sidhani kama Majani ataacha hili lipite. Labda kama alishamtupa huyu mtoto mazima. Hata hivyo lazima aumie..
 
Kama walimrubuni wakamnywesha pombe
1.kwa Nini hakukataa?
2.kwa Nini asinge run away from them,hakua na nauli?
3.je alikuja shitaki kwako Kama mama yake?
4.kama hakulalamika au hakushitaki kwako,maana yake aliridhia
5.baada ya tukio,Kama alishitaki kwako,wewe Kama mama ulichukua hatua zozote dhidi Yao?
6.kama hukuchukua,kwa Nini?
7.kwa Nini usubiri mpaka video zivuje ndo uombe msaada wa serikali? Kwa Nini uingeomba msaada kipindi tu baada ya tukio kutokea,umesubiri video zivuje ndo ulalamike?
8.kama ni Mimi,wewe kajala nakutia hatiani,na mwanao hatiani na hao hatiani.
Umesikia wewe jimama?
Halafu Kama ndo Niko kwenye ob pale,nadhani polisi mnajua ob, lazima nichukue Mimi hii kesi,na sikuachi ntakukula tu[emoji38][emoji38][emoji38] zigo lite Hilo nikuache[emoji15][emoji15] mama maeeeee! Satan anaweza nitenga kabisa kwenye ufalme wake.
Kajala,jibu maswali hayo kwanza, ili tuendelee ,zigo la kuvunja chaga hilo
 
Wazazi kumbe wanauchungu hivi 😀😀
 
Kajala asimlaumu mtu......huyu mtoto alimlea hivyo Sasa alitegemea awaje? Mbona watu walikuwa wakimuonya tangu dogo yupo primary kwamba amweke mbali na umaarufu wake lkn yeye alikuwa anajibu hovyo...
Ukipanda mahindi lazima uvune mahindi tu. Yeye alitegemea miujiza mahindi yaje kuwa mpunga..
Mwingine ni uwoya watu wanamuonya Kila siku kuhusu yule kijana wake anamlea Kama mtoto wa kike lkn anadai tusimpangie malezi..
Halafu yakiwakuta ooh serikali inisaidie....!!
 
Watoto wa masuper star 🙌🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…