Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Lete hapa hizo takwimu za hiyo misimu kutoka verified sources.Ukitoa msimu uliopita Je unajua takwimu za misimu mingine Simba alikuwa akiongoza??Kwa hiyo Yanga kampita Simba mashabiki Mwaka uliopita si ndio??
Zile takwimu za TFF hukuziona?Angeweka takwimu kutoka chanzo Cha uhakika ningemuelewa tofauti na hapo ni stori tu km zilivyo stori zingine aka Changamsha genge.
Akili hizi umerithi kwa Bashite au Juma Lukole?Kwakuwa hakuna takwimu rasmi kwamba Nani ana mashabiki wengi Tanzania basi tuangalia takwimu za mitandao ya kijamii Nani anaongoza kuwa na followers wengi maana technology hasa Mambo ya digital hayadanganyi ,maana fb followers wa Simba ni Mara mbili ya Yanga ,Instagram followers wa Simba ni Mara 3 ya Yanga ,na Twitter followers wa Simba ni zaidi ya Mara 4 wa Yanga.
Hapo utasikia TFF wanapendelea. Kumbe takwimu zinaongea
Kwa GSM
Huyu RC ndo maana polisi walitaka kumchapa njugu,mweupe kiutendaji mpaka kichwani huwa anabebwa tu serikalini lakini uwezo hana.Mbona twakwimu za mitandao ya kijamii zipo? Angalia tu followers Yanga wameachwa mbali
Njagu wewe ndiyo maana mshabiki wa Simba.Huyu RC ndo maana polisi walitaka kumchapa njugu,mweupe kiutendaji mpaka kichwani huwa anabebwa tu serikalini lakini uwezo hana.
Zipo kwenye Uzi wako??
Sawa,na Simba ni bora kuliko Yanga nalo hili halina ubishi ni mwendawazimu tu kama Haji Manara anayeweza kubisha.Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Kighoma Malima, amefunguka ya moyoni kuhusu timu mbili kongwe hapa nchini.
RC Malima amesema " Mtu yoyote anayejua mpira anajua wazi Yanga ina mashabiki wengi kuliko Simba"
Je Mkuu wa Mkoa huyu wa Tanga, takwimu hizo amezitoa wapi? ili nasisi mashabiki tuweze kujiridhisha kama kweli.
Kwa mtazamo wako RC Malima anaweza akawa timu gani kati ya hizo mbili kongwe?
View attachment 1962815
hata mimi naona hili halina ubishi, yaani namba ya mashabiki wa yanga kuwa kubwa kuliko ya washabiki wa simba. sasa ni nini tija ya kuwa na mashabiki wengi au wachache na uhusiano wake na performance ya timu.Kila Mtanzania mpenda soka analijua hili.
.................Halina ubishi.
hata mimi naona hili halina ubishi, yaani namba ya mashabiki wa yanga kuwa kubwa kuliko ya washabiki wa simba. sasa ni nini tija ya kuwa na mashabiki wengi au wachache na uhusiano wake na performance ya timu.Halina ubishi atakaye bisha ni mbumbumbu wa kutupwa
hata mimi naona hili halina ubishi, yaani namba ya mashabiki wa yanga kuwa kubwa kuliko ya washabiki wa simba. sasa ni nini tija ya kuwa na mashabiki wengi au wachache na uhusiano wake na performance ya timu.Adam amesema ukweli, na hili halina ubishi kabisaa
hata mimi naona hili halina ubishi, yaani namba ya mashabiki wa yanga kuwa kubwa kuliko ya washabiki wa simba. sasa ni nini tija ya kuwa na mashabiki wengi au wachache na uhusiano wake na performance ya timu.Huo ni ukweli dhahiri, licha ya kuwa na msimu mbovu yanga wameongoza kuingia uwanjani kuitazama timu yao ( mbumbumbu atasema haihusiani ivi kwa Tabia zetu watanzania unaweza enda kumuona mpinzani wako)
Kama hawa πππππHapo angemalizia kabisa. Simbwa ina mashabiki wengi vichaa
Kwani Makonda alipokuwa Dar ilikuwaje? Niliwahi kusikia aliwahi kuahidi sh. Milioni 20 kwa KMC ikiifunga Yanga...au ilikuwa uongo?! Vipi PM na Namungo?
Insta, fb, twitter hizo app hata hulipii kuifollow hiyo simba ni kubofya tu unaifollow.We ndiyo mbumbumbu PhD unaongea na kutoa majibu sahihi kabisa. Kwamba wanaoenda uwanjani wengine Wala hawana ushabiki na simba Wala yanga Bali burudani tu.
Toeni na ushahidi wa hizi takwimu basi.
Insta, fb, twita Simba Ina mashabiki milioni 2 ,yanga laki 9.
Utopolo kila jambo ni kujifariji.
Mbu3 amka,wakati Yanga inafanya kwa miaka 5,kolokwinyo hali ya viwanjani kwa mashabiki wao ilikua mbaya hadi kuna kipindi mzee pope aliomba sana washabiki waende uwanjani kuipa sapoti timu yao,hii miaka 3 Yanga iko katika hali mbaya lakini hata mikoani utaona timu mapokezi inayoyapata kutoka kwa mashabikiWe ndiyo mbumbumbu PhD unaongea na kutoa majibu sahihi kabisa. Kwamba wanaoenda uwanjani wengine Wala hawana ushabiki na simba Wala yanga Bali burudani tu.
Toeni na ushahidi wa hizi takwimu basi.
Insta, fb, twita Simba Ina mashabiki milioni 2 ,yanga laki 9.
Utopolo kila jambo ni kujifariji.
Huyo labda hujamuelewa,kuna malalamiko kutoka kwa wapenzi wa simba baada ya ali hapi mkuu wa mkoa wa mara kuhaidi m 10 kwa biashara iwapo ingeifunga simba na baadae mbunge wa dodoma mjini mavunde aliihaidi dom jiji m 10 iwapo wataifunga simba,watu wa simba wameibuka na kuiomba serikali iingilie kati kwani wanadai wanahujumiwa while bashite kishafanya sana hivyo huko nyuma ilifikia hadi kukaa kwenye benchi la ufundi la simba yote watu wa simba wamesahauTumia akili
Makonda timu zote za Dar..
Sasa RC wa Tanga anatetea timu ya Dar ni akili?
Kolokwinyo hawawezi kukuelewa mkuu,kitu kizuri akili zimewarudia na kufahamu how Yanga big is,malalamiko yameanza mapemaaa,msimu huu watalalamika sanaTulia wewe dogo..taratibu wewe...kwani aliyeahidi milioni 10 ametamka kuwa wawavunje miguu wachezaji wa Simba?! Hivi hukuona ile kungfu ya Kennedy Juma alivyomrukia mchezaji wa Biashara? I'll ilikuwa ni straight red card...lakini alipopigwa kiwiko huyo Kennedy Juma ndiyo red ikatoka...au hukuona msimu uliopita namna John Bocco alivyotaka kumvunja mguu Mukoko? Umesahau ya Chama alipomkanyaga Fee Toto kutaka kumvunja mguu? Na vipi kuhusu Wawa alipotaka kumvunja mguu Ditram? Wachezaji wote hao wa Simba hawakupata red Wala njano kwa kungfu hizo...acheni kulialia nyie...