RC Amos Makalla amaliza mgogoro wa Meya na Mkurugenzi Kinondoni

Safi Makalla. Hivi Songoro ni mtu wa wapi? huyu mama niliambiwa ni mpare.
 
Hakuna kitu hapo muda si mrefu mtasikia kusigana tena, huwezi kumaliza mgogoro kwa kuufanya haupo
 
Hivi hawa viongozi hawaoni aibu, wanaweka sintofahamu zao mbele na kuacha kututumikia wananchi, walitakiwa wale viboko
 
wahuni wote hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…