Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wangari Maathai uko wapi umsalimie kaka yako Mwagito Chalamila?๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mjanja wa kijijini ndiyo kakabidhiwa madaraka imekua ujinga-ujinga tu.watu wa hovyo kabisa
Umeanza kujipendelea segito?๐๐๐๐We...alisema hivyo? Hahaha woyooooooooo piga kelele kwa chaufupi akeeeeee๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Be manyi be...ndidobwike๐Umeanza kujipendelea segito?๐๐๐๐
Yaan hiki kichwq mie nachekaga sana .hahahhaaa .ati alikua lecturer duh๐๐Wangari Maathai uko wapi umsalimie kaka yako mwagito Chalamila?๐๐๐๐
He is not qualifyThis guy is comedian๐ ๐ ๐
Tafuta kitabu ubukue mkuu.Entilted "Fisi anacheka kwa mbwembwe"!Utakoma na roho yako!Ni utunzi wa ustaadh Chalamila๐๐๐๐Yaan hiki kichwq mie nachekaga sana .hahahhaaa .ati alikua lecturer duh๐๐
dikteta hafaiyani mjanja wa kijijini ndiyo kakabidhiwa madaraka imekua ujinga-ujinga tu.
Chalamila, star wa ma RC.yani mjanja wa kijijini ndiyo kakabidhiwa madaraka imekua ujinga-ujinga tu.
๐๐๐Akiongea na wananchi wa Mbalizi mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Albert Chalamila amesema mkoani kwake wanatwanga bia kitambo hawasubiri party ya Jumapili kama Dar.
Watu wenye vichwa modeli ile wana akili finyu sana
Akiongea na wananchi wa Mbalizi mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Albert Chalamila amesema mkoani kwake wanatwanga bia kitambo hawasubiri party ya Jumapili kama Dar.
Amedai kuna wakati alifungia bar kwa siku moja na kesho yake akaruhusu watu watwange bia hadi saa 7 za usiku.
Amemalizia kwa kusema Mbeya ni jiji la wajanja hata yeye ukimzingua anapaki gari pembeni mnazichapa kavu kavu ukimdunda poa tu
Maendeleo hayana vyama