johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tanzania hakunaga Ajira kuna Vibaruaπππππ¨ Hao hawana tofauti na wale walioajifiwa mwaka Juu harafu Wanalalamikia Kikokotoo πππ
DP World kasema mshahara alioukuta TPA lazima wafanyakazi wawe Wezi maana Utumishi bila savings ni Utumwa
Kwa mara ya kwanza niliwaelewa Waarabu ππ