Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Ni kweli wazazi hawahusiki, lakini kuilaumu serikali ni sahihi kwa kuwa tunailipa kodi.Wazazi hawahusiki tena, wamakulea ukawa mtu mzima wakamaliza kazi yao.
Wewe pambana kivyako, serikali ikiwa na sera au mipango mibaya ungana na wengine kuweka mambo sawa. Utafanikiwa tu.
Kila raia ana wajibu wa kujiendeleza binafsi, familia, jamii na taifa lake. Hakuna sababu ya kulaumu, pambana kuondoa vikwazo.
Ukimlipa fundi akurekebishie mlango wako lakini akasepa, hautamlaumu?