mayounger
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 693
- 670
Ukweli gani huo unaojulikana? Tufahamishe mkuu.Chalamila yupo sahihi,watu wamezidi lawama kwa rais huku ukweli unajulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli gani huo unaojulikana? Tufahamishe mkuu.Chalamila yupo sahihi,watu wamezidi lawama kwa rais huku ukweli unajulikana.
Enzi za mkapa chalamila asingepata hata utendaji kataNamuelewa hana qualification za kuwa nafasi hiyo kwa hiyo kasoma game na anaenda nalo.ni kama hapi mm nlikuwa namuelewa kuwa anaenda na floo ya magu
Aliyeshiba hamjui kwenye njaa.... 🚶Na wewe kuwa chawa itakulipa.
Samia Ndio alikuwa Rais Kwa miaka 40 Hadi umekuwa maskini? 😬😬
Yap mkuu uko sahihiEnzi za mkapa chalamila asingepata hata utendaji kata