Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Hatari sanaUgimbi πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sanaUgimbi πππ
Shangaa na wewe yani hili ndo boga kabisa watz ni mapoyoyoHalafu eti watu wanapambana na Makonda
Takbiiir, hii kufri dharau kuburi na kibri, hii Allahu akbar, Allah mwenye rehma na utukufu ulio mkuu zaidi, angalia kibri na ulevi wa neema uliyomjalia kiumbe wako huyu, Allah tunakuomba tuonyeshe utukufu wako juu ya mwanadamu huyu, Amin.Mungu amrehem.
Sasa kwanini wasilmlaumu samia kwasababu wanalipa Kodi chungu mzima lakini mgawanyo wa hiyo Kodi hauko sahihi CCM wanatumia kwa hanasa na ufisadi Sasa ni kwanini huyo mwenyekiti wa CCM asilaumiwe hivi ukiwa na mashavu kuvimba akili inabaki huko!!?View attachment 3002138
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewashangaa wenye umri zaidi ya miaka 40 wanaolalamika kukosa pesa na kutoa lawama kwa Rais Samia.
Chalamila amesema: βKama una umri kama wa kwangu na bado hujawa na hela huna haja ya kutenda dhambi ya kumlaumu Rais aliyeingia miaka mitatu iliyopita.Umri huu zaidi ya miaka 40 hela sina nilizaliwa wakati wa Nyerere, akaja Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli pamoja na Samia huna pesa ninashangazwaβ.
Chalamila amesema hayo leo Mei 28 ,2024 akiwa katika ziara ya Jimbo la Ukonga kukagua miradi mbalimbali na kusikiliza kero za wananchi wa jimbo hilo.
Tofautisha ukweli na dhihaka.Ukweli unauma na atapotoshwa ujumbe wake kwa jinsi utakavyoumiza akili zao.
Mueleweshe huyo RC serikali Ina ridhi kila kitu Cha serikali ya nyuma. Kwa hivyo lawama atapewa huyo Samiah Kama walivyopewa wengine.Point yake ni kutomlaumu rais wa sasa wakati marais kadhaa wameshapita ukiwa duniani.
Ni rahisi kuongea ila vitendo ni vigumu. Wazazi wangapi wanajitahidi ila mambo ni magumu. Usipende kuongea kisa mambo yako yamekunyookea.Kama hawakukusomesha au hawakujituma kutafuta mali ilihali sio wenye ulemavu wowote. Au hawakukutengenezea connection.
Ushauri: ikiwa wewe ni mzazi/mlezi, jitahidi sana kuwatengenezea watoto wako maisha ya kutolalamikia serikali hapo baadae
Tofautisha ukweli na dhihaka. Usipende kuwatetea wanasiasa.Tusianze Unafki... alichoongea ni SAHIHI na ndio ukweli wenyewe...
Tukubali ukwel hata kama ni Mchungu kiasi gani.
ππππππππππππ¨ Hao hawana tofauti na wale walioajifiwa mwaka Juu harafu Wanalalamikia Kikokotoo πππ
Rais lazima alaumiwe Kama hajaweka mipango na sera endelevu. Tusipende kuwapaka mafuta wanasiasa na kuwatupia lawama raia.Mimi Huwa napenda sana maneno yanayonichoma kama haya hata kama ni kweli Sina.
Bill gates aliwahi kusema; Ukizaliwa maskini sio kosa lako, Lakini ukifa maskini Hilo ni kosa lako!
Sasa wewe kazana kumlaumu Raisi
Tofautisha ukweli na dhihaka. Alichoongea Chalalamila ni dhihaka sio ukweli. Wao wanaiba pesa kila mwaka kwenye ripoti za CAG imeandikwa. So wanaweza kuropoka maana ameshiba.Ukweli unauma na atapotoshwa ujumbe wake kwa jinsi utakavyoumiza akili zao.
Sasa serikali ikiwa na mipango mibaya na sera mbaya kwanini isilaumiwe. Yani unataka wananchi wafanye maendeleo gani wakati serikali Ina sera mbovu?.Wazazi hawahusiki tena, wamakulea ukawa mtu mzima wakamaliza kazi yao.
Wewe pambana kivyako, serikali ikiwa na sera au mipango mibaya ungana na wengine kuweka mambo sawa. Utafanikiwa tu.
Kila raia ana wajibu wa kujiendeleza binafsi, familia, jamii na taifa lake. Hakuna sababu ya kulaumu, pambana kuondoa vikwazo.
Mzazi akishakuvusha miaka 18 ukiwa na afya njema, yatakayofuata yote ni wajibu wako, ukikosa jilaumu mwenyewe.Ni sahihi kabisa. 40+ yrs labda uwalaumu wazazi wako.
Punguza uchawa kwenye mambo serious.Kweli Mkuu naunga mkono hoja,yaani miaka 40 yote hujapata unamlaumu Samia? πππππ
Unajifanya unadharau utakuta huna lolote.πππππ¨ Hao hawana tofauti na wale walioajifiwa mwaka Juu harafu Wanalalamikia Kikokotoo πππ