johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tanzania hakunaga Ajira kuna Vibaruaπππππ¨ Hao hawana tofauti na wale walioajifiwa mwaka Juu harafu Wanalalamikia Kikokotoo πππ
Hao ndo viongozi tulio nao hajui watu wako wanaikimbiza 60 lakini hata kibanda cha kukaa hawana hela ya kula yenyewe ni tia maji sema kwa sababu wao hela za wizi wanazo
Kama hawakukusomesha au hawakujituma kutafuta mali ilihali sio wenye ulemavu wowote. Au hawakukutengenezea connection.Unawalaumu Kwa kipi?
Ndio hizo hizo watu wanaliliaTanzania hakunaga Ajira kuna Vibarua
DP World kasema mshahara alioukuta TPA lazima wafanyakazi wawe Wezi maana Utumishi bila savings ni Utumwa
Kwa mara ya kwanza niliwaelewa Waarabu ππ
Shibe mwanamalevyaView attachment 3002138
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewashangaa wenye umri zaidi ya miaka 40 wanaolalamika kukosa pesa na kutoa lawama kwa Rais Samia.
Chalamila amesema: βKama una umri kama wa kwangu na bado hujawa na hela huna haja ya kutenda dhambi ya kumlaumu Rais aliyeingia miaka mitatu iliyopita.Umri huu zaidi ya miaka 40 hela sina nilizaliwa wakati wa Nyerere, akaja Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli pamoja na Samia huna pesa ninashangazwaβ.
Chalamila amesema hayo leo Mei 28 ,2024 akiwa katika ziara ya Jimbo la Ukonga kukagua miradi mbalimbali na kusikiliza kero za wananchi wa jimbo hilo.
Wakishatoka kwenye hizo nafasi huwa wanatia huruma sana.
Kwa akili yake atakua RC milele.
Ukweli unauma na atapotoshwa ujumbe wake kwa jinsi utakavyoumiza akili zao.Point yake ni kutomlaumu rais wa sasa wakati marais kadhaa wameshapita ukiwa duniani.
Wa kunyumba lakini huyoπ€£π€£π€£π€£Madhara ya kunywa ulanzi uliochakachuliwa πΌ
Mwenzake Kyle Arusha anatatua kero za wananchi huyu ni maigizo tu huko darView attachment 3002138
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewashangaa wenye umri zaidi ya miaka 40 wanaolalamika kukosa pesa na kutoa lawama kwa Rais Samia.
Chalamila amesema: βKama una umri kama wa kwangu na bado hujawa na hela huna haja ya kutenda dhambi ya kumlaumu Rais aliyeingia miaka mitatu iliyopita.Umri huu zaidi ya miaka 40 hela sina nilizaliwa wakati wa Nyerere, akaja Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli pamoja na Samia huna pesa ninashangazwaβ.
Chalamila amesema hayo leo Mei 28 ,2024 akiwa katika ziara ya Jimbo la Ukonga kukagua miradi mbalimbali na kusikiliza kero za wananchi wa jimbo hilo.
Wazazi hawahusiki tena, wamakulea ukawa mtu mzima wakamaliza kazi yao.Ni sahihi kabisa. 40+ yrs labda uwalaumu wazazi wako.
Baada hatatue kero za wananchi Yeye anakalia mipasho tu, wakati ametenguliwa ukuu wa Mkoa kidogo ageuke kichaa,alijigeuza mlokole gafra na kuanza kuhubiri injiri na kuimba tenzi ili Samia umuonee uruma, Sasahivi anaanza majivuno kisa amefanikiwa, anaanza kumtukana wanaume,Kama haufanyi magendo au wizi kutoboa nchi hii nivigumu mno sheria kandamizi ni nyingi sana,Sheria Zina fervor mwekezi wa nje kuliko mgeni, ndio maana mgeni akija kutoboa ni rais kuliko mzawa.View attachment 3002138
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewashangaa wenye umri zaidi ya miaka 40 wanaolalamika kukosa pesa na kutoa lawama kwa Rais Samia.
Chalamila amesema: βKama una umri kama wa kwangu na bado hujawa na hela huna haja ya kutenda dhambi ya kumlaumu Rais aliyeingia miaka mitatu iliyopita.Umri huu zaidi ya miaka 40 hela sina nilizaliwa wakati wa Nyerere, akaja Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli pamoja na Samia huna pesa ninashangazwaβ.
Chalamila amesema hayo leo Mei 28 ,2024 akiwa katika ziara ya Jimbo la Ukonga kukagua miradi mbalimbali na kusikiliza kero za wananchi wa jimbo hilo.
Anaagiza toka vilabu vya Mlandege. Unaletwa na Upendo njia nzima unatikiswa unategemea nini akinywa? Lazima aropoke tuMadhara ya kunywa ulanzi uliochakachuliwa πΌ
Ugimbi πππAnaagiza toka vilabu vya Mlandege. Unaletwa na Upendo njia nzima unatikiswa unategemea nini akinywa? Lazima aropoke tu