Pre GE2025 RC Chalamila: Kama una miaka 40 na hauna pesa usimlaumu Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mungu amrehem.
Takbiiir, hii kufri dharau kuburi na kibri, hii Allahu akbar, Allah mwenye rehma na utukufu ulio mkuu zaidi, angalia kibri na ulevi wa neema uliyomjalia kiumbe wako huyu, Allah tunakuomba tuonyeshe utukufu wako juu ya mwanadamu huyu, Amin.
Masheikh msifanye dhihaka juu ya Dua hii, - -Dua hii haina utaratibu wa kurudi nyuma.
 
Sasa kwanini wasilmlaumu samia kwasababu wanalipa Kodi chungu mzima lakini mgawanyo wa hiyo Kodi hauko sahihi CCM wanatumia kwa hanasa na ufisadi Sasa ni kwanini huyo mwenyekiti wa CCM asilaumiwe hivi ukiwa na mashavu kuvimba akili inabaki huko!!?
 
Hili boya ni kulipiga shaba ya kichwa liondoke. Very stupid. Watu waibe?. Wawe majambazi? Kila kiongozi analaumu wananchi Sasa kuna haja gani ya kuwa na serikali? Stupid
 
Point yake ni kutomlaumu rais wa sasa wakati marais kadhaa wameshapita ukiwa duniani.
Mueleweshe huyo RC serikali Ina ridhi kila kitu Cha serikali ya nyuma. Kwa hivyo lawama atapewa huyo Samiah Kama walivyopewa wengine.
 
Kama hawakukusomesha au hawakujituma kutafuta mali ilihali sio wenye ulemavu wowote. Au hawakukutengenezea connection.

Ushauri: ikiwa wewe ni mzazi/mlezi, jitahidi sana kuwatengenezea watoto wako maisha ya kutolalamikia serikali hapo baadae
Ni rahisi kuongea ila vitendo ni vigumu. Wazazi wangapi wanajitahidi ila mambo ni magumu. Usipende kuongea kisa mambo yako yamekunyookea.
 
Mimi Huwa napenda sana maneno yanayonichoma kama haya hata kama ni kweli Sina.

Bill gates aliwahi kusema; Ukizaliwa maskini sio kosa lako, Lakini ukifa maskini Hilo ni kosa lako!

Sasa wewe kazana kumlaumu Raisi
Rais lazima alaumiwe Kama hajaweka mipango na sera endelevu. Tusipende kuwapaka mafuta wanasiasa na kuwatupia lawama raia.
 
Sasa serikali ikiwa na mipango mibaya na sera mbaya kwanini isilaumiwe. Yani unataka wananchi wafanye maendeleo gani wakati serikali Ina sera mbovu?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…