Pre GE2025 RC Chalamila: Kama una miaka 40 na hauna pesa usimlaumu Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Namuelewa hana qualification za kuwa nafasi hiyo kwa hiyo kasoma game na anaenda nalo.ni kama hapi mm nlikuwa namuelewa kuwa anaenda na floo ya magu
Enzi za mkapa chalamila asingepata hata utendaji kata
 
Yuko sahihi😃,toka ulipoanza kujitambua mpaka leo huna hela halafu uanze kumlaumu Mama Samia aliyeingia madarakani juzi tuu!sio sawa!
Jilaumu mwenyewe kwakutoweza kuziona fursa.
 
Nipo napiga tubia tuwili na kutafakari maneno ya Mheshimiwa Chalamila, nahitimisha wakemee urasimu na rushwa, tutajirika hata uzeeni
Cost of doing business is unnecessarily high
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…