RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

Singida kuna maendeleo kuliko Kagera?
Mimi sijui wakisemaga kagera ni maskini...wanaongelea kagera ipi...

Maana huko vijijini kuna majumba na majumba...bila kusahau barabara za kunganisha wilaya nyingi ni za lami...
Wilaya kams muleba ina hospital tatu na shule kibao ...

Sasa sijui wanataka kagera nzima iwe na maghorofa kama dar?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Rubbish analysis. Why open the shop if studies confirm that the would be customers start going out of the residences from 10.00 onwards!
Sijui huu uchumi wamesomea wapi hawa?
 
Kwani Kagera wanaishi wahaya peke yao!?...na hiyo mikoa mingine iliyoendelea kuzidi hiyo Kagera,hakuna wahaya wanaotoa michango yao!?..mimi nadhan RC ASI attack characters za watu, angebuni ni namna gani afanye kuwasaidia hao anaowaita wabishi...na hii nchi kuna kasumba kwamba ukihoji au ukaonesha kujua haki zako unaitwa mbishi...Uzuri wa Taifa letu ni hii mosaic ya utamaduni na Mila, kiongozi mzuri ni yule anayeweza kubuni mbinu ya kuongoza watu wake na kubadirisha mitazamo yao hasi na kuwaletea maendeleo Bila kuonekana kwamba unawakejeli. Chalamira aambiwe nchi hii ni yetu sote,kabila ni utambilisho tuu... Serikali kuu inaongoza Watanzania sio makabila...hayo mambo awaachie wabunge naadiwani wanyooshane na raia wao,yeye aangalie picha Kubwa.
 
Huyo jamaa kwa "kuropoka" hawezi kuacha kipaji chake, alichojaaliwa na Mungu😄

Noo!! Hebu sikiliza alivyoongea na alichokileta muanzisha uzi, vitu viwili tofauti!! WaTZ tumekuwa watu wa ajabu sana miaka, hawajaona cha kujadili katika sentensi nzima aliyosema "...sitaki mivutano ya sheria wala viingereza, nataka kuona namna gani utageuza elimu yako kuleta maendeleo!!" Serious katika hiyo sentensi tumeona aliposema sitaki viingereza 😀😀😀😀 tumekwisha!!
 
Alianza Nyerere kupeleka washenzi mkoa wa Kagera ili kukwamisha maendeleo ya mkoa, hiyo tabia haijawahi kuisha leo tunatafuta mchawi kwa maneno ya shombo.

Eti mara hii Wahaya leo wamekuwa laughing stock ya nchi!!
 
We anzisha duka lako fungua hata sa kumi alfajiri usianze kuleta ujuaji kwenye biashara za watu.
 
Mambo ya kulala na ng'ombe ni hadithi tu! Njoo mtaani huku Simiyu aangalie wanaume wanavyopambana! Geita inawazidi mzunguko wa pesa na uchakarikaji wana wananchi wake!
 
Alianza Nyerere kupeleka washenzi mkoa wa Kagera ili kukwamisha maendeleo ya mkoa, hiyo tabia haijawahi kuisha leo tunatafuta mchawi kwa maneno ya shombo.

Eti mara hii Wahaya leo wamekuwa laughing stock ya nchi!!
Huwa hamtaki kuambiwa ukweli! Wahaya waongo waongo wana maisha mazuri ukienda anapoishi ujinga mtupu! Hata hapa town tunao mara nafanya kazi wapi na wapi! Wanaongoza kufeki maisha! Wapuuzi sana hawa!
 
Huwa hamtaki kuambiwa ukweli! Wahaya waongo waongo wana maisha mazuri ukienda anapoishi ujinga mtupu! Hata hapa town tunao mara nafanya kazi wapi na wapi! Wanaongoza kufeki maisha! Wapuuzi sana hawa!
🤣😂🤣 Sasa tumeanza kushambuliana na 'kurekebishana' kwa misingi ya kikabila?

Je serikali inatimiza wajibu wake katika kuweka mazingira wezeshi ndani ya mkoa?

Mimi sitokei huko ila najua mawili matatu nini mchango wa serikali katika kudumaza maendeleo ya mkoa ule.
 
Mafanikio ya makafara! Kagera hatunaga hizo.
 
Hiyo stendi, imehamishiwa pale Leo?
 
Na kibaya zaidi , Hiro duka lipo moja maeneo hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…