RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

Amekurupuka. Mafinga Kuna mabasi yanaingia saa kabla ya saa moja asubuhi, lakini hukuto Duka kubwa likiwa wazi hunabudi kusubili hadi saa 2:30 ndio wafungue na mji ule unayo maduka makubwa matatu. Ngori ,Mgaya, na vunja Bei kama Dar la bwana CF.

Kufungua biashara usiku inategemea na maatiji ya watu.
 
Huo ndo ukweli wahaya wabishi akijua kingereza anajifanya professor wamekariri ....watu wabishi na dharau
 
Sasa Kati ya mm na wewe tahira ambaye hajielewi ni nani......kwa hiyo unaona Sasa hapo huyo bwana wako Chalamila aliongea pointi si ndio
 
Wahaya ni shidaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Instanbul ukuje hukuuu
 
Duuu kumbe upoooo[emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kuna uhusiano gani kati ya serikali na kuchelewa kufungua maduka yao?
Je serikali inawaambia wachelewe kufungua?
Acheni viiingereza viiiiingi mfungue maduka mapemaas
 
Utumbo
 
Kiongozi sio kuongea yale mazuri tu au yale wanayopenda kuyasikia tu,ni pamoja na magumu na changamoto zinazowakabili,hapo RC alishausoma mkoa na watu wake na akagundua shida iko kwenye vijitabia vyao, na leo amapata jukwaa lakusemea akasema sioni tusi hapo wala shida, kikubwa waliolengwa wanajijua wajirekebishe waache kujifanya wajuaji.Rombo walisemwa kwa ulevi mpaka wanasaidiwa wake zao na wakenya lkn iliishia wapi zaidi ya kujirekebisha?wana kagera tusimuue rc tujirekebishe mkoa uko nyuma sana
 
Sasa mji si ndo reflection ya mkoa mzima?
Then hapo umepotea. Wahaya hawajengi mijini! Nenda kijijini uone! Mji ni wa serikali , lkn nyumba za wat zipo na mzuri tu! Stend ni ya serikali badala ya huyo RC kujenga stend analeta matusi
 
Wacha maneno, hakuna alosema majengo na lami.
Afterall lami zimewekwa na serikali na hizo hospital.
Watu wanahoji kuhusu mji wa Bukoba ambao watu wanalala tu na kuongea viingereza bila kujituma
 
Wacha maneno, hakuna alosema majengo na lami.
Afterall lami zimewekwa na serikali na hizo hospital.
Watu wanahoji kuhusu mji wa Bukoba ambao watu wanalala tu na kuongea viingereza bila kujituma
Kwanini unataka watu waamke mapema? Unakwenda kumuhudumia nani? Kila mtu ana schedele ya shghuli zake, huyu RC ni wa ajabu sana. Anaropoka tu bila analysis. Kwa data ipi ambayp ameichapisha na kutoa conclusion hiyo! Unafungua duka kama kuna wateja wa mapema. kama watu hawaji barabarani mapema unafungua ili iweje?
 
Usilinganishe Geita kwenye ukanda wa dhahabu inayowezesha mzinguko wa fedha na Kagera ambayo hakuna kiwanda wala mgodi wa kuwezesha hilo.
Kagera imekumbwa na vikwazo kadhaa vya kiuchumi vikiwemo vya bahati mbaya na vingine vya maksudi kutoka kwa watawala. Kwa kutaja vichache rejea vita vya Kagera, Anguko la bei ya kahawa na vikwazo lukuki ambalo ni zao kuu la biashara, Kuzama kwa MV Victoria nguvu kazi na mitaji vilipotea, Madhara ya HIV kimkoa, Kuteketea kwa zao la migomba ambacho ni zao la chakula kikuu, Udhibiti wa biashara ya mpakani likiwemo zao la Kahawa usiokuwa na tija unaofanywa na mamlaka za serikali. Zaidi ya yote, Serikali kutojishughurisha ipasavyo kushughurikia majanga yote hayo.

Yawezekana wewe ni kijana mdogo wa juzi kati. Ebu fuatilia historia ya mkoa huo na zao la kahawa(Rejea maneno ya M/M- CCM kwenye ziara inayoendelea kuhusiana na kahawa, hayo yameanza kabla hujazaliwa!!) na hayo mengine. Utaona misumari ambayo Wanakagera wamekuwa wakibebeshwa pasipo hatua sitahiki kuchukuliwa kwa muda stahiki.

Kwa ufupi kinachotajwa kama ujuaji kimesababishwa na watawala, ni kwa wakazi wa Kagera katika namna ya kujinasua kwenye minyororo ya ukandamizaji wa ujanjaujanja na vikwazo lukuki kutoka kwa watawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…