Catholic anaweza kufuta huyo Chalamila? Au akamkamata Askofu katoliki kuwa polidi kamkamateni .Polisi gani au mwanajeshi gani atatii hiyo amri ya kwenda kumkamata Askofu wa kanisa katoliki?Huyo kichwa chake tu kinaeleza yeye ni mtu wa aina gani.
Asitupotezee muda kumjadili.
PointIfike wakati wanasiasa waache kuapa huku wakiwa wameshirikira vitabu ya dini,ashikirie katiba ya nchi na ilani ya vyama vyao.
Hao ndio wamemsomesha shule ππUjumbe umewafikia RC
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi
Nawatakia Sabato Njema ππ
ππ Mnyalu ChalamilaChalamila inaonekana IQ, uwezo na upeo wake ni mdogo sana.
He is misfit for the position.
Nachojua ujumbe umefika TEC wajitathminiHao ndio wamemsomesha shule ππ
Ujumbe umewafikia RC
Labda Huko kwenu Moravian a local church ππNachojua ujumbe umefika TEC wajitathmini
Nani alikuambia TEC huwa inashughulika na kauli za watu webye upeo na akili ndogo, na watu wanafiki kama Chalamila?Nachojua ujumbe umefika TEC wajitathmini
Kanisa Moja Takatifu La Mitume πNani alikuambia TEC huwa inashughulika na kauli za watu webye upeo na akili ndogo, na watu wanafiki kama Chalamila?
Hakuna muda wa kuchezea kiasi hicho. TEC only argues with people who are mentally abd morally fit.
Ujumbe umefika,akili zako na za ukoo wako hazimfikii ChalamilaNani alikuambia TEC huwa inashughulika na kauli za watu webye upeo na akili ndogo, na watu wanafiki kama Chalamila?
Hakuna muda wa kuchezea kiasi hicho. TEC only argues with people who are mentally abd morally fit.
π¨π¨Ujumbe umefika Kwa TEC mengine ni mapovu ya kujifariji tuu ππLabda Huko kwenu Moravian a local church ππ
Mengine ni kujifariji ila imepenya hiyo ππKanisa RC huwa halina muda na watu wenye akili ndogo na wanafiki kama huyo.