RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

Labda haya makanisa ya akina Askofu Mwamakula ambayo hata Kagame kayafunga sana tu.

BTW:Kiongozi wa dini akiipongeza serikali hachanganyi dini na siasa ila ni anapoikosoa tu.

NB:Chalamila ni wale jamaa zake MV kwa taaluma kwa hiyo ndiyo upeo wa walio wengi wao.
 
Julius Nyerere katika hotuba yake kuhusu kanisa na Theolojia ya Ukombozi katika Amerika ya Kusini akiwa nchini Managua, Nicaragua. Hotuba yake hii ya mwaka 1988 inaigusa Tanzania ya 2023 kuhusu masuala ya hali ya kisiasa ambapo watawala hawafanyi siasa zinazo wanufaisha wananchi walio wengi na wakikosolewa wanakuwa wakali


JULIUS NYERERE Former President of Tanzania Speech in Nicaragua in 1988


On August 15th, 1988, Julius Nyerere, former president of Tanzania, gave a public lecture at a church in Managua. President Daniel Ortega spoke next.

THIS VIDEO PRESENTS THE TALK BY NYERERE. In 1979 the Nicaraguan people, under the leadership of the Sandinista Front for National Liberation, had overthrown the Somoza dictatorship.

Many Christians had participated in various ways in the struggle for liberation and continued to take part in the programs of the revolutionary government.

During the 1980s the Sandinista Revolutionary Government, which included three priests in the cabinet, sought to move Nicaragua in a socialist direction but had to concentrate resources on defending the country and the revolution against the US-supported counter-revolutionaries (Contras).

In early 1990, Daniel Ortega was defeated at the polls by a broad coalition which had Violeta Chamorro as its candidate. Julius Nyerere (1922 – 1999) was a Tanzanian anti-colonial activist, politician, and political theorist. He governed Tanganyika as Prime Minister from 1961 to 1962 and then as President from 1963 to 1964, after which he led its successor state, Tanzania, as President from 1964 to 1985. Ideologically an African nationalist and African socialist, he promoted a political philosophy known as Ujamaa.
Source : Joseph Mulligan

El 15 de agosto de 1988, Julius Nyerere, ex presidente de Tanzania, dio una conferencia pΓΊblica en una iglesia de Managua. El presidente Daniel Ortega hablΓ³ a continuaciΓ³n

20 August 2022
Managua, Nicaragua

Mwanamapinduzi rais Daniel Ortega alisakama Kanisa kwa kuikosoa serikali


View: https://m.youtube.com/watch?v=1CVkoAWRhAs
Police in Nicaragua have arrested a Catholic bishop known for his criticism of President Daniel Ortega. Rolando Alvarez is being detained at his home in the capital, Managua. This is part of a wider government crackdown on dissent among members of the clergy.

Cracks down on Catholic Church

Daniel Ortega’s regime targets last bastion of dissent with trial of outspoken bishop of Matagalpa Rolando Álvarez, bishop of Matagalpa and Esteli and a critic of president Daniel Ortega, celebrates mass online at a church where he was taking refuge in May. He was arrested in August

.Dressed in a blue shirt rather than clerical garb and gaunt after nearly four months under house arrest, Bishop Rolando Álvarez sat alone in a Nicaraguan court, charged with conspiracy to undermine national integrity and spreading false news.

Last week’s appearance was his first in public since being arrested in August during a raid on his diocesan headquarters in Matagalpa, where he had been holed up with 11 colleagues in protest at Catholic media outlets being closed.

The detention of Nicaragua’s most outspoken prelate, whose trial will begin in January, has sent an unmistakable message to opponents of the regime of president Daniel Ortega and his wife, vice-president Rosario Murillo.

β€œHe’s been very direct and one of the few priests not afraid to speak out,” said Yader MorazΓ‘n, a lawyer who fled Nicaragua in 2018. β€œThis is about punishing him and sowing terror in the population and other clergy, too.” The business community was cowed into silence after it voiced support for anti-government protesters in 2018.

The leaders of Cosep, the main business organisation, were imprisoned. The regime has shut down more than 3,000 NGOs and forced 54 media outlets to close, according to Confidencial, a Nicaraguan newspaper operating from neighbouring Costa Rica.

Now, it is stepping up its repression of the Catholic Church, which has criticised Ortega’s persecution of protesters and his authoritarian excesses while supporting the families of political prisoners.β€œIt has the objective of closing the last remaining civic space in the country, which is the space for freedom of conscience, freedom of preaching, religious freedom, even of the church,” said Carlos Chamorro, director of Confidencial.

A Nicaraguan exiled in Costa Rica holds a sign reading: β€˜Ortega and Murillo Out! #SOSNicaragua’ at a protest against the detention of Bishop Alvarez, in San Jose in August


© Mayela Lopez/ReutersThe persecution of Álvarez and the church comes as Ortega and Murillo consolidate power and imprison opponents.

The ruling Sandinista National Liberation Front swept all 153 municipalities in elections last month that the US called β€œa pantomime”.The regime continues to hold 225 political prisoners, including β€œrelatives of detained political opponents, allegedly to coerce the latter into surrendering”, the UN high commissioner for human rights, Volker TΓΌrk, said last week.β€œIt’s on the way to becoming a virtual North Korea in Central America,” said Tiziano Breda, Central America analyst for the International Crisis Group. β€œIt’s a country where Ortega has reckoned that, to maintain control of the state and to remain in power, the only way to do it is through total suppression of any minimal dissident voice.”

Daniel Ortega and Murillo have routinely condemned bishops as β€œterrorists” and β€œcoup mongers”. Police have thwarted feast-day processions and officers routinely patrol outside churches in acts of intimidation, according to priests.

The Missionaries of Charity, the order founded by Mother Teresa, left in July after losing its registration. The Vatican’s ambassador, Archbishop Waldemar Sommertag, was expelled in March.

β€œThe last institution left standing as a beacon of hope was the church,” said an exiled priest, who requested anonymity for security reasons.Ortega uses the Catholic Church as a kind of useful device if he needs it and like a carpet if he needs to lay the blame somewhere Ryan Berg The church has had a chequered relationship with Ortega since he first became president in 1979 when the Sandinistas ousted Anastasio Somoza.

Daniel Ortega lost power in 1990, but regained office in 2007, presenting himself as a proper Catholic and courting close relations with the church hierarchy, according to analysts. Ortega and Murillo married in a Catholic ceremony in 2005. He later backed a draconian abortion law in 2006, passed two weeks before an election he won, which bans the procedure in all circumstances.β€œ[The bishops] were distracted by this effort by the Ortegas to crack down on abortion and they didn’t see the rest of the picture,” said Ryan Berg, director of the Americas programme at the Center for Strategic and International Studies, a think-tank.β€œOrtega uses the Catholic Church as a kind of useful device if he needs it and like a carpet if he needs to lay the blame somewhere.”

The church became an outspoken Ortega critic after protests erupted in 2018 over proposed social security reform.Priests opened their parishes to wounded protesters being pursued by police and paramilitaries.

The bishops’ conference convened a national dialogue to find an exit from the protests and political crisis but then withdrew, alleging bad faith on the government side. Pope Francis has spoken tepidly on Nicaragua. He expressed concern after Álvarez’s arrest in August and called for dialogue. He said in a press conference the following month: β€œThere is dialogue. That doesn’t mean we approve of everything the government is doing or disapprove of it.” Analysts said dialogue between the government and protesters had gone from trying to find a political solution to the 2018 protests to simply seeking to improve conditions for prisoners held in El Chipote prison on the outskirts of the capital, Managua.

Photo: President Daniel Ortega of Nicaragua leader of Sandinistas

Daniel Ortega first came to power in 1979 when the Sandinistas overthrew the dictator Anastasio Somoza

β€œDialogue doesn’t make sense with the dictatorship because it’s holding participants from the first dialogue in prison,” said Father Edwin RomΓ‘n, a Nicaraguan priest exiled in Miami.β€œI don’t think the Catholic Church will lend itself to another circus, when there’s a bishop and priests imprisoned.”The Nicaraguan bishops’ conference has remained silent on Álvarez’s arrest. It did not respond to a request for comment.β€œThe bishops have opted for silence and prayer and not mentioning the problem to not be persecuted,” said the exiled priest.
Source : Financial Times
 
Chalamila inaonekana IQ, uwezo na upeo wake ni mdogo sana.

He is misfit for the position.
Nakubishia mzee....Mimi apa Clark cian


Kwani mwenye mamlaka juu ya nchi ni nani?
 
Hivi huyu RC akili yake kweli ina akili ??
 
Sema kusema ukweli


Siasa na dini ni vitu viwili incompatible kabisaaaaa,huwezi changanya pamoja hata siku moja

Ili uweze kufanya maendeleo lazima kuna watu watatumia TU.chukua mfano mzuri tuuh barabara zilivyojengwa kuanzia kimara huko Hadi kibaha ,maduka na majengo ya watu (makali) kibao yalibomolewa lakini sasa hivi ndo wa kwanza kushukiru serikali Kwa upanuzi wa barabara ambayo inawasaidia kufika majumbani kwao Kwa haraka




Broh & sisters maumivu ni Kwa muda tuu

Tuipe muda serikali iamue Cha kufanya mtakuja nishukuru
 
Yeye kilichompeleka TAG kuhubiri ujinga ni nini wakati yeye ni mwanasiasa?
 
Asome vzr historia ya dunia, walishatokea watawala kama hao wengi tu, wakapita, kanisa linaendelea..so hawezi kulitisha kanisa kwa chochote, iwe upanga, moto, jasho au damu, kanisa lishapitia yote hayo...aje yeyote.
 
Naunga mkono HOJA....

Makanisa na misikiti si nyumba za SIASA....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Hapo nililikuwa na imani na mmoja huyo si mwingine bali ni bwana mitimingi
 
Inatafsiri, makanisa kama biashara zingine; mambo ya mbinguni n.k ni habari za kusadikika tu.
 
Alipokuwa RC mbeya ktk ziara ya Magufuli: "mheshimiwa raisi, nashukuru sana. Mshahara ninaopewa ni mzuri, unaniwezesha hata kukaa na mchepuko" Hivi mtu kama huyu mtamhesabu kama mwenye akili timamu? Tatizo la afya ya akili ni kubwa nchi.
 
Tutafutia usajili izo taasisi zenu
Kabla hujafuta usajili utafutwa wewe! Usifanye mchezo na Mungu siyo level yako kabisa! Mungu anaweza kuifuta serikali yako yote na akaweka nyingine!

Narudia tena, kabla hujafuta usajili utafutwa wewe! Tutakufuta usionekane tena kwenye siasa za Tanzania!
 
Makanisa yaache kujikomba kwa wanasiasa.
Kkanisa la Rc lifutwe nchini litaleta machafuko
Machafuko unayajua?.
 
Mengine ni kujifariji ila ujumbe umewafikia regardless mapovu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia
Kwahio Ubia wao ni regardless hata Serikali ikiamua kuua watu Kanisa Libariki mauaji ?
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote
Kwahio sababu anawasajili wawe propaganda machine ? Yaani mkinipigia debe poa mkienda ndivyo sivyo regardless ninawafuta
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali
Uchochezi hautakiwi iwe Kanisa, Msikitini, Serikali au individual, ila uchochezi unapokuwa subjective mkisifia na kuunga propanganda mnaleta utulivu mkikemea maovu inakuwa uchochezi
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema πŸ˜€πŸ˜€
Kwahio wasiporomoshe matusi ?, Waunge mkono Hoja regardless au nini ni nini ? Binafsi naona kuliko kuwa nyenzo ya Sera na Propaganda za Serikali bora yasiwepo (the damage is greater) ila kama raia wakiona maovu wanaweza kukemea; nadhani siasa ni kuwaambia watu mchagueni huyu na siyo yule ila kusema kwamba hapa fulani amekosea (na sio kwa mujibu wa Imani bali Katiba) ni haki ya kila mwananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…