Alikipata kupitia CCM, ndo alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa. Alivyoteuliwa ukuu wa mkoa akaambiwa achague cheo kimoja, akachagua ukuu wa mkoa.Huwa najiuliza hiki cheo alipataje huyu kijana? Yaani dah akili yangu huwa inatatizika sana!
Mwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu
Alikipata kupitia CCM, ndo alikuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa. Alivyoteuliwa ukuu wa mkoa akaambiwa achague cheo kimoja, akachagua ukuu wa mkoa.
Huyu RC hakuletwa kwa ajili ya kumng'oa Sugu, aliyeletwa kwa ajili hiyo ni Vurugu Jackson. Huyu Chalamila hajui fitna na figisu za siasa ndo maana hotuba zake zina ukakasi wa tamaa za mwili tu.Alishindwa kumng'oa msigwa IRINGA je ataweza kumng'oa sugu Mbeya?Ni kati ya ma rc watakaopigwa chini kwa kushindwa kuwapa ushindi.
Hivi Magufuli Ruling Party ni Kiswahili? Sasa mwalimu wa Kiswahili anapendekeza chama kipya kwa jina la lugha nyingine. Halafu ndio mnasema Kiswahili kitumike kufundishia kwenye ngazi zote za elimu wakati walimu wenyewe wa Kiswahili hawakitaki Kiswahili badala yake wanapendekeza majina ya Kiingereza. Chema chajiuza Kibaya chajitembeza. Naona Kiingereza kinajiuza chenyewe hata kwa walimu wa KiswahiliMwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu
Bosi wake kamkanushaa.
Vyama vya upinzani vipo kikatiba na ni muhimu kuvilinda ili viendelee kuwepo, ila CCM ndiyo inatakiwa iendelee kutawala daima.Nimeisikia hii kupitia ITV huko mkoani Mbeya wilayani Kyela.
Ngoja niitafakari kidogo hii kauli ya RC Chalamila....... Nijiridhishe alichomaanisha.
Maendeleo hayana vyama!
ALICHOJIBU RAIS:
Rais Magufuli amesema mkuu wa mkoa Albert Chalamila anatamani tuwe na mfumo wa chama kimoja lakini yeye (Dr Magufuli) matamanio yake ni kuwa na mfumo wa vyama vingi lakini CCM iendelee kupata ushindi.
Rais Magufuli Magufuli anasema katika hilo anatofautiana na Mkuu wa Mkoa na kwa maana hiyo kila mmoja wao abakie na msimamo wake.
Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea ufafanuzi wa haraka sana swala hili!
====================
Habari zaidi kutoka kwa Mdau mwingine
Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".
Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.
Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"
Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".
Na wewe kwa kusifia vitu vya hovyo hovyo umejaliwaMwalimu wa kiswahili huyo, bingwa wa kuchomekea maneno. wanambeya wanamkubali sana huyo mwamba wa lugha, hapo kawaacha CHADEMA , ACT, na wengine kuitafakari kauli hiyo bila majibu
Pipa na mfuniko!!!Nimeisikia hii kupitia ITV huko mkoani Mbeya wilayani Kyela.
Ngoja niitafakari kidogo hii kauli ya RC Chalamila....... Nijiridhishe alichomaanisha.
Maendeleo hayana vyama!
ALICHOJIBU RAIS:
Rais Magufuli amesema mkuu wa mkoa Albert Chalamila anatamani tuwe na mfumo wa chama kimoja lakini yeye (Dr Magufuli) matamanio yake ni kuwa na mfumo wa vyama vingi lakini CCM iendelee kupata ushindi.
Rais Magufuli Magufuli anasema katika hilo anatofautiana na Mkuu wa Mkoa na kwa maana hiyo kila mmoja wao abakie na msimamo wake.
Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea ufafanuzi wa haraka sana swala hili!
====================
Habari zaidi kutoka kwa Mdau mwingine
Katika ziara ya Raisi inayofanyika leo hapa Kyela, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesikika akisema "Natamani kuwe na Chama kimoja Magufuli Ruling Party".
Akifafanua kauli hiyo Mkuu wa mkoa amesema "Kila mwezi unatusaidia kuwalipa watumishi 2471 wanao lipwa zaidi ya bil.1, pesa ambazo wewe mh. raisi Magufuli unazileta katika mji wa Kyela.
Ninacho shangaa unapokuta tunaendeleza malumbano katika mazuri hayo unayoyafanya, ambayo hatuna mahali popote pakuyalinganisha. Sioni sababu ya kua na mfumo wa vyama vingi Kyela zaidi ya kua na chama kimoja kinachoitwa "Magufuli Ruling party katika mazuri"
Akijibu hoja hiyo mh: raisi amesema "Mkuu wa mkoa anatamani kuwa na chama kimoja, lakini mimi natamani kuwe na vyama vingi sana vitakavyoleta ushindani lakini siku zote Ccm ndio iwe inashinda kwasababu ni kwa mujibu wa katiba yetu".