Kule Mtwara wameagizwa kuwa na mashamba ya korosho,
Arusha kule ni viboko tu,
Haya yetu macho.
Uchaguzi umeshakwisha mkuu,Hapo ndio ujue ule wizi wa kura wa ccm ilikuwa ni dhambi ya kukaribisha aibu, fedheha na ukatili kwa taifa.
Umenena vema mkuu!Uchaguzi umeshakwisha mkuu,
Sasa hivi tunawekana sawa tu kuhakikisha tunakuwa kwenye ukurasa mmoja.
Watendaji wa serikali wanatakiwa kutumia nafasi zao vyema kwa manufaa yetu sisi wananchi tuliowapa hizo dhamana.
Mambo kama hayo yanafedhehesha Sana.nilisikia waziri mkubwa naye aliwahi kuchapa viboko walimu
Uchaguzi umeshakwisha mkuu,
Sasa hivi tunawekana sawa tu kuhakikisha tunakuwa kwenye ukurasa mmoja.
Watendaji wa serikali wanatakiwa kutumia nafasi zao vyema kwa manufaa yetu sisi wananchi tuliowapa hizo dhamana.
Hapa kazi tuuuu. Nasema uongo ndugu zangu????Kule Mtwara wameagizwa kuwa na mashamba ya korosho,
Arusha kule ni viboko tu,
Haya yetu macho.
Hapa kazi tùuuu[emoji23][emoji23]Uchaguzi umeshakwisha mkuu,
Sasa hivi tunawekana sawa tu kuhakikisha tunakuwa kwenye ukurasa mmoja.
Watendaji wa serikali wanatakiwa kutumia nafasi zao vyema kwa manufaa yetu sisi wananchi tuliowapa hizo dhamana.
Niache kwenda Kanisani Kumshukuru Muumba wangu niende ku respond Amri Haramu ki Dikteta Uchwara ChipukiziMkuu wa mkoa wa Iringa Salum Happi amesema jopo la madaktari wa mkoa wa Iringa wamemweleza kuwa mkoa huo unanyemelewa na magonjwa nyemelezi kama kisukari nk.
Kufuatia hali hiyo RC Happi amewaagiza Wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha kila Jumamosi ya pili ya kila mwezi inakuwa ni siku ya mazoezi ya Umma ambapo watumishi wote na wananchi kwa ujumla watapaswa kufanya mazoezi.
Watakaopuuza hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu wa mkoa wa Iringa Salum Happi amesema jopo la madaktari wa mkoa wa Iringa wamemweleza kuwa mkoa huo unanyemelewa na magonjwa nyemelezi kama kisukari nk.
Kufuatia hali hiyo RC Happi amewaagiza Wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha kila Jumamosi ya pili ya kila mwezi inakuwa ni siku ya mazoezi ya Umma ambapo watumishi wote na wananchi kwa ujumla watapaswa kufanya mazoezi.
Watakaopuuza hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Mavi yake hatua kali za kisheria !! Sheria ipi? Hapi naye aache ujinga wakati mwingine ningekuwa iringa siendi halafu nione hiyo hatu ya kisheria atayo nichukulia kuna vijitu vingine vipuuzi sanaMkuu wa mkoa wa Iringa Salum Happi amesema jopo la madaktari wa mkoa wa Iringa wamemweleza kuwa mkoa huo unanyemelewa na magonjwa nyemelezi kama kisukari nk.
Kufuatia hali hiyo RC Happi amewaagiza Wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha kila Jumamosi ya pili ya kila mwezi inakuwa ni siku ya mazoezi ya Umma ambapo watumishi wote na wananchi kwa ujumla watapaswa kufanya mazoezi.
Watakaopuuza hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Ijumaa ni siku ya ibada kwa waislamu!Kwa hiyo watu wasiende kwenye ibada au kwenye mishe zao kutokana na kubanwa na ratiba za kazini j'tatu hadi ijumaa wakakimbizane kama wehu!? Kama yuko serious kwa nini asiteue siku ya ijumaa....aliyemwambia kisukari kinazuiwa kwa mazoezi ya siku moja kwa mwezi ni nani? au ndo kutafuta kiki kwa pikipiki...
Wewe hutaki kufanya mazoezi kwa mujibu wa sheria?Sasa ni dhahiri haka katoto kamelewa chakari
.