Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kule Mtwara wameagizwa kuwa na mashamba ya korosho,
Arusha kule ni viboko tu,
Haya yetu macho.
Hapo ndio ujue ule wizi wa kura wa ccm ilikuwa ni dhambi ya kukaribisha aibu, fedheha na ukatili kwa taifa.