RC Hapi: Jumamosi ya pili ya kila Mwezi itakuwa ni siku ya kufanya mazoezi watumishi wa umma na Wananchi wote mkoa wa Iringa

Kwa sheria ipi na kwa kifungu gani?!!!!
 
Nitakua shambani siku hizo. Anifuate kimoate cha Kleruu
 
Mazoezi ya viungo endelevu, ndio yanaweza kuweka miili yetu sawa.
Pia lishe bora nayo ni changamoto.
Kunywa maji ya kutosha kama lita 3 kila siku.
Pia body massage inapunguza tension at least once month kama wafanyavyo South East Asia.
Ventilation ya kutosha kazini na nyumbani.
Usafi wa mazingira yaliokuzunguka.
 
Namuunga mkono kabisa.. Watumishi wengi Sana wanakufa na kisukari ..madaktari wanaweza dhibitisha hili... Mara moja kufanya mazoezi inaweza isitoshe lakini anaanza wajengea watu culture ya kufanya mazoezi... Viongozi wengine Waige hili... Ikiwezekana Iwe kampeni ya kitaifa kabisa
 
Walivyo na fikra fupi wanadhani mazoezi ni kukimbia tu kama wehu mabarabarani. Mazoezi mengine hufanyika nyumbani si lazima uende katika viwanja vya michezo.
 
Happy hajui kabisa what is leadership, hv anafikiri watumishi wa umma kama watumwa wake? Jmosi & jpili ni siku za mapumziko kisheria na sheria zinawalinda watumishi, huwezi kukurupuka tu na kujiamualia lolote lile juu ya watumishi, hao sio watumwa wana haki na stahiki zao kisheria. Very wrong guy to be RC
 
Na wale ambao jumamos ndio siku ya ibada je wao watafanyweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…