RC Iringa na maandamano ya feki ya wakulima Iringa kumpongeza Rais Samia

Asimsahau Ally Hapi katika list ni mkulima bora kabisa mfano wa vijana nchi wa kuigwa anatekeleza sera ya kujiajiri.
 
Ule ujinga wa enzi za awamu ya 5 unarudi kwa kiwango cha kijinga tena.
 
Jiwe na Bashiru ndio alikuwa mwasisi wa hizi tabia, kwa hiyo copy & paste hapo.
Tunafanya kile jiwe alichotufundisha.
Samia mbele kwa mbele, asiyekutaka akajizike chato pembeni
 
Ningependa kuona wakulima wa korosho hasa makonde wanambiwa habar hizi nione kinachotaka kutokea,Kama ges tu ilikuwa vile ambayo hawajui inakuje mpaka kutumika.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Hata mjinga anajua kabisa haya maandamano ya wakulima ya kumpongeza mama Samia baada ya kuzinguliwa na Bashiru, ni utapeli wa mchana kweupe.
Ila Mama anazingua, kabisa anajua wanamlamba kisogo yeye anaona anaupiga mwingi!
 
Unajuaje Kama Ni maandamano feki?
 
Pole Sana mkuu kwa kuharibiwa ratiba zako dah siyo POA kbsa

Bora ungeleta furugu kubwa Hadi washangae kuwa imekuaje dah nisingekubali kutumika na wanasiasa
 
Jiwe na Bashiru ndio alikuwa mwasisi wa hizi tabia, kwa hiyo copy & paste hapo.
Tunafanya kile jiwe alichotufundisha.
Samia mbele kwa mbele, asiyekutaka akajizike chato pembeni
Una mwona huyu malaya bado anamkumbuka Mwendazake wakati yuko mbinguni ametulia zake. Wewe malaya endelea na umalaya wako tu hakuna atakayekuzuia kwenye hobby wako.
 
Una mwona huyu malaya bado anamkumbuka Mwendazake wakati yuko mbinguni ametulia zake. Wewe malaya endelea na umalaya wako tu hakuna atakayekuzuia kwenye hobby wako.
Kajizikeni chato!
Mlimgeuza mungu wenu.....
Mlimwabudu, mlimsifu, mlimfananisha na yesu.....

1.5 trillions ziko wapi? Hatatokea rais mwizi kama MAGU
 
Kajizikeni chato!
Mlimgeuza mungu wenu.....
Mlimwabudu, mlimsifu, mlimfananisha na yesu.....

1.5 trillions ziko wapi? Hatatokea rais mwizi kama MAGU
Si alikuhonga wewe malaya au!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…