Chozizwa2020
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 912
- 853
Mkuu
Mkuu leo Mbezi/Kimara utadhani watu wako eneo la machimbo ya madini, vibanda vyenye maturubai chakavu vimetamalaki.Dar ingekuwa jiji la mfano hata sisi tukiingia tujisikie kuwa Tanzania kuna mji mzuri. Sasa hivi huko Buguruni, Ubungo, Karume, Tegeta hapana tofauti na Lindi