RC Makalla: Kuanzia usiku wa leo hakuna Panya Road atasalimika, operesheni inayoanza si salama kwao

huu nao ni kama uoga sasa unataka kwenda kuwa kabili panya road then unawatangazia ili iweje yani wakijificha ili kukwepa operation je itakua ime solve tatizo?

Muhimu kuwapa Taarifa. Wahuni wote wasionekane mjini.
 
Wakikamatwa wakiwa kwenye matukio ni sahihi kuwamaliza
 
Kama wamejichagulia kua wahalifu then bunduki Ni halali Yao hata kupigwa miti pia yafaa wapigwe.
 
Panyaroad ni matokeo ya failure state kutimiza majukumu yake.
Hivi mfano kungekuwa na vyuo vya ufundi kama veta KILA kata ingesaidia kuwapa vijana matumaini na sio hili la kuwaacha wajiongoze wenyewe
 
HAKUNA kitu hapo.solution NI kumwaga vijana wa JKT na JWTZ mitaani wazurure zurure TU waache kukaa makambini.
Kulinda usalama wa raia ni kazi inayohitaji mafunzo ambayo wanajeshi hawana. Na zaidi, kuwa na mazoea ya kutumia wanajeshi kulinda mitaani siyo jambo zuri hata kidogo na mara nyingi linakuja na matokeo hasi.
 
We umeshashasikia kuna msako wa kuwakamata wahalifu halafu unaenda kukesha vijiweni unacheza draft..hapo ukikamatwa unamlaumu nani sasa
Hilo ni lipanya road senior, limestaafu kazi hiyo.
 
Wangewakomesha kimyakimya Ingekuwa poa sana! Hii ya Kuwatangazia wanaweza wakaacha kwa muda baadae wakarudi tena.
 
Watuachie tu tuwaue jamani, tumewachoka sasa hata na polisi hatuwaamini kwani tunahisi wanashirikiana nao.
 
Kwani sheria ya kupeleleza kwanza kabla ya kukamata imefutwa au umesimamishwa kwa muda?
Jambazi aliye site unamkamata wa nini? Au unapeleza nini? Kinachotakiwa ni exchange of fire between the police and the suspect. That's all
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…