ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
huu nao ni kama uoga sasa unataka kwenda kuwa kabili panya road then unawatangazia ili iweje yani wakijificha ili kukwepa operation je itakua ime solve tatizo?
Mafisadi awakai uswahiliniKinachonisikitisha hawa oanya road wanawaibia walala hoi, wavuja jasho la uchungu badala ya kuvamia compound za mafisadi.
Au wanaogopa shaba?..
Wavamie hata vitega uchumi vyao, kwani havijulikani? Tuone kama polisi hawatakurupuka kuthibiti hiyo hali.Mafisadi awakai uswahilini
si ata fanya wahuni wa chore wakamate wavuta sigara tu wa mtaaMuhimu kuwapa Taarifa. Wahuni wote wasionekane mjini.
Wakikamatwa wakiwa kwenye matukio ni sahihi kuwamalizaMawazo ya kipuuzi kbs na mawazo km haya ndy wanakuwa Nayo polisi baadhi wakishapewa kazi ya kuingia mtaani kutafuta wahalifu..
Enzi hizo za wahuni wa Temeke Mimi nimewahi kusombwa polisi kisa tupo kitaani tunacheza draft na polisi wanatafuta vikundi vya kihalifu
Wangekuwa na mawazo km yako wengi tungekufa bila hatia
Km umezaliwa uswahilini wanakotokea hawa panya road,mburahati,kigogo,manzese,tandika nk haiwezi kuepuka kukutwa na majanga ya kihalifu ktk safari ya maisha yako..
Hao watoto wamejikuta Tu wamezaliwa uswahilini,hawakujichagulia wao wenyewe ingawa uhalifu ni Jambo walilolichagua..Polisi wakiingia mtaani wanachojua wanaenda kukamata panya road uswahilini,sasa mara kadhaa inatokea wanakamatwa na wasiohusika..Je,kuua ni solution?? Fikiria tena mkuu!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Vitega uchumi vyao vinalindwa na bundukiWavamie hata vitega uchumi vyao, kwani havijulikani? Tuone kama polisi hawatakurupuka kuthibiti hiyo hali.
Wakionekana mjini watauuwa. Ni taarifa muhimu kwa wahusika, wawalifu.Muhimu kuwapa Taarifa. Wahuni wote wasionekane mjini.
Kama wamejichagulia kua wahalifu then bunduki Ni halali Yao hata kupigwa miti pia yafaa wapigwe.Mawazo ya kipuuzi kbs na mawazo km haya ndy wanakuwa Nayo polisi baadhi wakishapewa kazi ya kuingia mtaani kutafuta wahalifu..
Enzi hizo za wahuni wa Temeke Mimi nimewahi kusombwa polisi kisa tupo kitaani tunacheza draft na polisi wanatafuta vikundi vya kihalifu
Wangekuwa na mawazo km yako wengi tungekufa bila hatia
Km umezaliwa uswahilini wanakotokea hawa panya road,mburahati,kigogo,manzese,tandika nk haiwezi kuepuka kukutwa na majanga ya kihalifu ktk safari ya maisha yako..
Hao watoto wamejikuta Tu wamezaliwa uswahilini,hawakujichagulia wao wenyewe ingawa uhalifu ni Jambo walilolichagua..Polisi wakiingia mtaani wanachojua wanaenda kukamata panya road uswahilini,sasa mara kadhaa inatokea wanakamatwa na wasiohusika..Je,kuua ni solution?? Fikiria tena mkuu!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Panyaroad ni matokeo ya failure state kutimiza majukumu yake.Kule Kenya wakati Kibaki (R.I.P.) anaingia Madarakani, alikuta tatizo kubwa la chokoraa , watoto wa mtaani.
wakifanya uhalifu kwenye mitaa ya Nairobi na Viunga vyake, ilikuwa ni tatizo kweli siyo mchezo.
Alikaa na taasisi mbali mbali kuona namna ya kummaliza hilo tatizo,
Vilianzishwa vituo mbali mbali wakakusanywa ,wakapewa elimu ikawaingia ,wengi walikuwa na urahibu wa kuvuta (Gam) yaani chupa ya plastic ndogo inawekwa gundi patex inachanganywa na petrol,walikuwa ni hatari sana ukikutana nao kwenye anga zao.
Baada ya kuwakusanya walipelekwa kwenye vituo vya ufundi vilivyokuwa vimeanzishwa kila mmoja kwa namna alivyopenda awe kama ni fundi Magari, Selemara,Uchomeleaji nk.
Hii kitu ilisaidia sana kupunguza uhalifu kwenye jamii na wengi walipungua mtaani.
Naona na hapa kwetu inahitajika hekima siyo nguvu tu ili kummaliza hili tatizo ,huenda hawa wanafanya hivi sababu ya hali zao kimaisha .
Ndiyo wakamateni wawekwe sehemu waulizwe kwa nini wanafanya uhalifu wa namna hii vijana bado wadogo wanahitaji msaada kwa kweli.
Wasaidiwe zipo taasisi zinazoshughulikia haya mambo , wapelekwe vyuo vya ufundi wapate ujuzi wao wa kuwasaidia ili kuachana na uhalifu wa namna hii.
Lakini suala la kuwaua ,utaua na wengine wasio na hatia, hapa hekima kubwa itumike ni watoto wetu hawa , ni wadogo zetu hawa, ni wajukuu zetu hawa, tunaishi nao mtaani tunawafahamu tuwashauri.
Huenda ni urahibu wa Madawa ya kulevya unapelekea yote haya .
Ni hivi wahuni wote wenye akili timamu watabaki nyumbani. Pia itaipa serikali muda kuwatafuta wahuni.si ata fanya wahuni wa chore wakamate wavuta sigara tu wa mtaa
Hapo ni kuwatengenezea police ulajiWanataka wazazi wakienda na wao wawekwe ndani
Kulinda usalama wa raia ni kazi inayohitaji mafunzo ambayo wanajeshi hawana. Na zaidi, kuwa na mazoea ya kutumia wanajeshi kulinda mitaani siyo jambo zuri hata kidogo na mara nyingi linakuja na matokeo hasi.HAKUNA kitu hapo.solution NI kumwaga vijana wa JKT na JWTZ mitaani wazurure zurure TU waache kukaa makambini.
Hilo ni lipanya road senior, limestaafu kazi hiyo.We umeshashasikia kuna msako wa kuwakamata wahalifu halafu unaenda kukesha vijiweni unacheza draft..hapo ukikamatwa unamlaumu nani sasa
Absolutely like πππππHawa watoto sio wa kuwapeleka polisi...solution nzuri ni kumalizana kabisa ili tuheshimiane.....
Watuachie tu tuwaue jamani, tumewachoka sasa hata na polisi hatuwaamini kwani tunahisi wanashirikiana nao.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema "Kuanzia leo, baada ya tamko langu leo, usiku wa leo na kuendelea hakuna 'Panya Road' atasalimika katika mkoa wa Dar, oparesheni inayoanza usiku wa leo si salama kwa 'Panya Road', oparesheni inayoanza leo inaenda kuua uti wa mgongo wa mtandao mzima wa 'Panya Road"
Ameongeza "Niwasihi wazazi kwamba operesheni hii haitowaacha watoto wao wahalifu, kama mzazi ulizoea kupata zawadi kwa mtoto, TV bila kujua kipato chake, akudanganye 'amebeti', kawatafuteni watoto wenu kwenye vituo vya Polisi kuanzia kesho"
Amesisitiza "Kila Wilaya kwa mikoa ya Kipolisi, kutoa taarifa za kila siku za Operesheni ondoa 'Panya Road' na kudhibiti uhalifu katika mkoa wa Dar es Salaam kila siku, toeni taarifa tusipotoa taarifa watazitoa taarifa mbaya"
Ameyasema hayo siku moja baada ya kundi hilo la uvamizi kuvamia na kujeruhi watu 19 katika Maenel ya Mtongani, Kunduchi mkoani humo
Bas mpaka hapo hujaish sehem za kihun wwNimeishi,nmepita sehemu za kihuni
Sijawahi ona ujingujing kama huu
Sijui anakuja mtu anapora watu
Ova
Jambazi aliye site unamkamata wa nini? Au unapeleza nini? Kinachotakiwa ni exchange of fire between the police and the suspect. That's allKwani sheria ya kupeleleza kwanza kabla ya kukamata imefutwa au umesimamishwa kwa muda?
HAKUNA kitu hapo.solution NI kumwaga vijana wa JKT na JWTZ mitaani wazurure zurure TU waache kukaa makambini.
Unaujasiri wa kumaliza mtuHawa watoto sio wa kuwapeleka polisi...solution nzuri ni kumalizana kabisa ili tuheshimiane.....