Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini unasema hivyoNimepiga hesabu ya haraka haraka ng'ombe 200@850,000 =170,000,000
Yaani 170M
Labda kama hizo gharama wamechangia hao wafanya biashara, ila yeye na Ofisi yake ya Mkoa hawana hicho kiasi.
Hizo sio chini ya milion 300 zinazikwa hapo,watoto wako chini wanakalia mawe
Unapiga hesabu ela zako?Nimepiga hesabu ya haraka haraka ng'ombe 200@850,000 =170,000,000
Yaani 170M
Labda kama hizo gharama wamechangia hao wafanya biashara, ila yeye na Ofisi yake ya Mkoa hawana hicho kiasi.
Hela za kufanya ujinga zipo na mnazo zinatoka chap chap. Kutulipa wazabuni na kuwalipa wakandalasi hapo ni kazi sanaa.maswali yaliyo jaa fikra za kimaskini sana haya dah 🐒
poorest mindset scratching lazy thinking spirit 🐒Hizo sio chini ya milion 300 zinazikwa hapo,watoto wako chini wanakalia mawe
Mkuu akili zetu wabongo ndio hiziii ..nchi ina wajinga wengi xnaa afu wanajiona wao wako sahihi ndio wanapenda nchimaswali yaliyo jaa fikra za kimaskini sana haya dah 🐒
Sawa,ila wazabuni wakitaka kulipwa hamna helaUnapiga hesabu ela zako?
Nyie nyumbu kila cku mnataka ela zitumike wapi jmn
Wengine pamoja na kwamba tunashughulika na Kazi ya Kilimo, lakini tunajua jua kidogo kuhusu bajeti ya baadhi ya Ofisi za Umma.kwanini unasema hivyo
inashangaza sana mtu kamua kuwakutanisha wafanya biashara pamoja kwa chakulaMtu akipitia huu uzi ndio atajua baadhi ya Watanzania walivyo wajinga.
Misallocation of resouces defines your empty headed minds.poorest mindset scratching lazy thinking spirit 🐒
Bado huko ni kuwaza kwa kutawaliwa na fikra za kimasikini tu,Hela za kufanya ujinga zipo na mnazo zinatoka chap chap. Kutulipa wazabuni na kuwalipa wakandalasi hapo ni kazi sanaa.
Si ajabu ukakuta Mkurugezi hajalipa mafundi wanaojenga madarasa.😂😂
wacha nikupe siri kidogo mzee mwenzangu ARUSHA sio ile ulikua unaijua chukua hiyoWengine pamoja na kwamba tunashughulika na Kazi ya Kilimo, lakini tunajua jua kidogo kuhusu bajeti ya baadhi ya Ofisi za Umma.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa haina bajeti ya kutumia kwenye shughuli kama hizo unless iwe imewezeshwa na wadau.
Hivi kumbe kufahamu namna ya Fedha za Serikali zinavyotumika na yenyewe ni hadi uwe Nyumbu?Unapiga hesabu ela zako?
Nyie nyumbu kila cku mnataka ela zitumike wapi jmn
Kapewa na MboweKapata wapi Hela?
CHAKULA KINAWAWEKA WATU PAMOJA ULIZA MTU YOYOTE NDUGUkuna kipi cha kusherehekea?
au sababu anazo mwenyewe sirini?
kukutanisha hao watu ni mpaka kuchinja ng'ombe?