Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Charismatic zealout son of Tanzania[emoji7]Genius huyu, mtu na kipawa chake cha uongozi.
#Union government ever and ever ,amen[emoji7]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Charismatic zealout son of Tanzania[emoji7]Genius huyu, mtu na kipawa chake cha uongozi.
Kwahyo tusile nyama kisa tuna maadui!Nawaza tu usalama wa hizo nyama siku hiyo kama wabaya wake watajipenyeza na kuamua kufanya yao.
Wadudu WASIONG'ATA hawana "hizo mambo"....aangalie wadudu wasije wangamuunganisha kwenye ng`ombe 200 akawa wa201
[emoji7]Mkt wa kamati ya ulinzi mkoa
Mawazo ya kijima kabisa....Kwanini wasiende kugawa angalau ng'onbe 10 Kwa watoto yatima?
....faida yake ni zaidi ya hizo milioni 300....Hzo Million 300 zimetumik kuwakutanisha viongozi na wafanyabiashara bado sio mbaya sababu kuna vtu vitajadiliwa hapo na vitawafaidisha wafanyabiashara ambao ni raia wa taifa hili.
M170 ofisi ya mkoa haina!?Nimepiga hesabu ya haraka haraka ng'ombe 200@850,000 =170,000,000
Yaani 170M
Labda kama hizo gharama wamechangia hao wafanya biashara, ila yeye na Ofisi yake ya Mkoa hawana hicho kiasi.
Kudos kamarada [emoji7]Hapa nakubaliana na wewe asilimia 100.
Kwamba hizo gharama zimefadhiriwa na Hao hao Wafanyabiashara.
Jambo la kuzingatia ni suala la Ushawishi pamoja na mahusiano
Maana mikoa ipo mingi lakini sio Wakuu wote wa Mikoa wanafanya alichofanya Paul Makonda.
[emoji1787][emoji1787]Kwahyo tusile nyama kisa tuna maadui!
🙏🙏🙏Kudos kamarada [emoji7]
Hapo umenena....
Makonda is a real son of Tanzania [emoji7]
Hata iko nayo ndo itumike kwenye ishu za hovyo?.M170 ofisi ya mkoa haina!?
wenu na nani?safi sana raisi wetu wa 2030
....kwani ratiba ya mkutano huo wa Arusha ilitoka baada ya mh.Dr.Ndungulile kushinda kura 25 kati ya 46?!! [emoji44][emoji44][emoji1787]Sio anasheherekea maamdalizi ya kugombea jimbo la Kigamboni?
Nadhani hivyo.....kwani ratiba ya mkutano huo wa Arusha ilitoka baada ya mh.Dr.Ndungulile kushinda kura 25 kati ya 46?!! [emoji44][emoji44][emoji1787]
WAWEJA KULUMBA [emoji7][emoji120][emoji120][emoji120]
Ni RushwaKapata wapi Hela?
Ofisi ya Mkoa haina hiyo hela.M170 ofisi ya mkoa haina!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nadhani hivyo.