RC Makonda aandaa sherehe Arusha. Anatarajiwa kuchinja ng'ombe 200

RC Makonda aandaa sherehe Arusha. Anatarajiwa kuchinja ng'ombe 200

Ndio....

Sadaka na zaka si tu huko nyumba za ibada....

Dola letu la JMT linahitaji sadaka na zaka ya mali na uhai....

Mbele ya Chifu wetu ni lazima tuteketeze sadaka kwa ajili ya baraka ya ardhi....

Yaani awepo chifu mkuu chifu Hangaya halafu tuteketeze sadaka ya "ubwabwa ndondo"?!! [emoji44][emoji44]

Aaaah wapiii
uchawi sio imani ya serikali
tunajua nyie ni wachawi
ila msiifanye imani ya mkoa/taifa zima
hayo matambiko yenu msiyafanye ya kitaifa
 
nyama ni muhimu sana na ni lazima ziliwe haswaaaa kesho,

na bilashaka yoyote faida kwa wafanyabiashara wa vinywaji vikali na baridi lakini pia na huduma nyingine muhimu zitafanyika sana kesho, actually ni kuanzia leo usiku, na zitakua na faida maradufu kwa wana Arusha zaid ya gharama za ng"ombe wote watakaochinjwa :pulpTRAVOLTA:
Bila Shaka unasemea nyama za dada zetu Mana Mambo Kama hayo niliyakuta Barbados.

Visungura, Don Nyati plus kuwapumhaza issue za Ngorongoro mjikaze masaia hatusahau kitu.
 
Nimepiga hesabu ya haraka haraka ng'ombe 200@850,000 =170,000,000

Yaani 170M

Labda kama hizo gharama wamechangia hao wafanya biashara, ila yeye na Ofisi yake ya Mkoa hawana hicho kiasi.
Sio kwamba Atown ng'ombe ni wengi?
Au watanunua itakua kama nyama choma festival?
 
huwezi kuwaza haya ikiwa fikra zimezongwa na umaskini...

ni lazima kujizatiti hasa katika kuamua na kuthubutu kutekeleza uamuzi mgumu lakini sahihi kwa maslahi mapana ya unao waongoza....

kuna watu wameona nyama tu kwenye event hiyo, kama yule aliehoji pesa zometoka wap?

kumbe alie buni event kaamua kuwekeza milioni mia3 ili wananchi kupitia biashara na huduma za malipo wanazofanya watengeneze blioni 1 na maisha ya wananchi wa Arusha kiuchumi yabadilike :pulpTRAVOLTA:
Hakika[emoji7]
 
uchawi sio imani ya serikali
tunajua nyie ni wachawi
ila msiifanye imani ya mkoa/taifa zima
hayo matambiko yenu msiyafanye ya kitaifa
Huna akili...

Uchawi ni nini ?!!

Wayahudi waliteketeza kafara za damu...wachawi wale ?!!

Huna ujualo zwazwa
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ng’ombe takribani 200 watatolewa kwa ajili ya kuchoma nyama, tukio linalolenga kuimarisha uhusiano kati ya wafanyabiashara wa mkoa huo na viongozi wanaoshiriki kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma.

“Ng’ombe kama 200 hivi watachinjwa, ni kuchoma nyama tu hakuna ugali wala wali, lakini tumewaita wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Arusha” amesema Makonda

Ametangaza kufanyika kwa sherehe ndogo Agosti 29, 2024 kwa lengo la kuwakutanisha wafanyabiashara wa Arusha na Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma.


Hao ng'ombe na sherehe badala ya maji simanjiro. CCM OYEEE
 
acha wivu mtoto wa kiume tafuta hela, vijana wengi wavivu na waliokosa connection wana wivu na makonda ikiwamo wewe
Kusema kuwa Makonda ni multimillionaire ni wivu au nimetoa wasifu wake? Utakuwa umekalia kitu kigumu chenye ncha butu huku kikiwa kimezama kabisa maungoni mwako bwabwa wewe.
 
Back
Top Bottom