Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wapi aliposema wananchi wamejitolea?Wananchi wamejitolea au hujui Arusha ni mkoa wa wafugaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi aliposema wananchi wamejitolea?Wananchi wamejitolea au hujui Arusha ni mkoa wa wafugaji?
Hanaga akili huyo dogo. Ni matukio tu hana analowaza. Ukiwa zero brain ni zero brain tuMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ng’ombe takribani 200 watatolewa kwa ajili ya kuchoma nyama, tukio linalolenga kuimarisha uhusiano kati ya wafanyabiashara wa mkoa huo na viongozi wanaoshiriki kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma.
“Ng’ombe kama 200 hivi watachinjwa, ni kuchoma nyama tu hakuna ugali wala wali, lakini tumewaita wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Arusha” amesema Makonda
Ametangaza kufanyika kwa sherehe ndogo Agosti 29, 2024 kwa lengo la kuwakutanisha wafanyabiashara wa Arusha na Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma.
Faida gani kama ,kwa kujinja Moo 200?kwaajili ya hao waandamizi? je wanlipia?Hyo inaitwa resources mobilisation skill sio lazma pesa siwe zake amaweza akamobilize wafugaji na wafanya biashara ya nyama wakafanya kwa faida yao.
Sasa inafkl wanakula bure?Faida gani kama ,kwa kujinja Moo 200?kwaajili ya hao waandamizi? je wanlipia?
Non sense why aseme makonda?
N'gombe bei ya wastani ni laki 8 hadi million 1 so gharama itakuwa kati ya 160M hadi 200M.Hizo sio chini ya milion 300 zinazikwa hapo,watoto wako chini wanakalia mawe
Sherehe ya kuachiwa jimbo KigamboniMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ng’ombe takribani 200 watatolewa kwa ajili ya kuchoma nyama, tukio linalolenga kuimarisha uhusiano kati ya wafanyabiashara wa mkoa huo na viongozi wanaoshiriki kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma.
“Ng’ombe kama 200 hivi watachinjwa, ni kuchoma nyama tu hakuna ugali wala wali, lakini tumewaita wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Arusha” amesema Makonda
Ametangaza kufanyika kwa sherehe ndogo Agosti 29, 2024 kwa lengo la kuwakutanisha wafanyabiashara wa Arusha na Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma.
Eeh yeye si ana mobilize tu. Unadhani kuna ugumu gani ukiwa na mabilionea kibao wa Arusha. Kila kampuni waki Donate 10M tu jambo linaenda vizuri tu maana it will take not more than 20 companies za utalii tu. Hela inakuwa ishapatikanaNimepiga hesabu ya haraka haraka ng'ombe 200@850,000 =170,000,000
Yaani 170M
Labda kama hizo gharama wamechangia hao wafanya biashara, ila yeye na Ofisi yake ya Mkoa hawana hicho kiasi.
Nakazia hizo hela zote 180m-300m kazitoa wapi?Kapata wapi Hela?
Kampuni ya utalii ina turnover ya zaidi ya billion kwa mwaka watashindwa ku donate million 10 kwa shughuli kama hizo?Hapa nakubaliana na wewe asilimia 100.
Kwamba hizo gharama zimefadhiriwa na Hao hao Wafanyabiashara.
Jambo la kuzingatia ni suala la Ushawishi pamoja na mahusiano
Maana mikoa ipo mingi lakini sio Wakuu wote wa Mikoa wanafanya alichofanya Paul Makonda.
Rais wenu, ccm wata ku suprise likija suala la uraissafi sana raisi wetu wa 2030
Kwani amekwambia hao ng'ombe kawatoa wapi?Wapi aliposema wananchi wamejitolea?
Mama atoe ela za magoli halafu atashindwa kumpa Makonda ela?Nimepiga hesabu ya haraka haraka ng'ombe 200@850,000 =170,000,000
Yaani 170M
Labda kama hizo gharama wamechangia hao wafanya biashara, ila yeye na Ofisi yake ya Mkoa hawana hicho kiasi.
Matajiri hawali nyama sana na wengine wana visukari so zitakula familia zao😂 kikubwa hamna kubeba. Ule nyama hadi ukufwe 🤣Nadhani itakuwa Choma festival, maana Kwa ng'ombe 200 nyama yake sio ya mchezo
Bado Vinywaji,Muziki wachomaji na takataka zingineN'gombe bei ya wastani ni laki 8 hadi million 1 so gharama itakuwa kati ya 160M hadi 200M.
[emoji2956][emoji7]Safi sana comred Makonda,natamani kuja kujumuika nawe ila umbari ndo shida
Kutoka kisimani.Kapata wapi Hela?
Exquisite in what sense?Exquisite comment [emoji7]
Ni sahihi Mkuu, hapo ni suala la Mahusiano baina ya Ofisi yake ya Mkoa na wadau wa maendeleo tuEeh yeye si ana mobilize tu. Unadhani kuna ugumu gani ukiwa na mabilionea kibao wa Arusha. Kila kampuni waki Donate 10M tu jambo linaenda vizuri tu maana it will take not more than 20 companies za utalii tu. Hela inakuwa ishapatikana