Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hahaha................hiyo imekaa vizuri, ikiwezekena waweke fungulia goli ili watoto wa uswahili wapige chambi chambiMatajiri hawali nyama sana na wengine wana visukari so zitakula familia zao😂 kikubwa hamna kubeba. Ule nyama hadi ukufwe 🤣