digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Kumbe na wewe unanipenda mkuu ,unataka nikuone au!?Unamuwaza makonda kuliko hata mmeo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe unanipenda mkuu ,unataka nikuone au!?Unamuwaza makonda kuliko hata mmeo...
Kwani kula inatakiwa mwisho ng'ombe ngapi!?kula ndio mpaka iwe ng'ombe 200?
Atakuwepo kwenye sherehe ya nyama, amealikwa nadhani...Hivi lema yupo wapi siku hizi?
nikuulize weweKwani kula inatakiwa mwisho ng'ombe ngapi!?
Wakati babake akiwa kiranja yeye na majambazi wenzie wlitajirika sana.Kapata wapi Hela?
Hapo ishu sio nyamachoma bali ni damu na kwa upande mwingine kikiKapata wapi Hela?
Swali la msingi sana maana mishahara na marupurupu ya ma DC tunayajua.maswali yaliyo jaa fikra za kimaskini sana haya dah 🐒
Ana hakika kuwa waalikwa wote wanakula nyama,?tena choma ya n'gombe!,Haya wee ukitoka hapa usigeuke nyuma,Naunga mkono hoja [emoji7][emoji7]
Mh.Rais yuko Arusha...
Wakuu wa taasisi na mashirika wako Arusha....
Mkuu wa mkoa jembe zaidi ni mkuu wa mkoa mwenyeji hapo Arusha[emoji7]
Kwa heshima ya chifu wetu mkuu chifu Hangaya na kwa utiifu mkuu wa mh.Makonda wacha wana Arusha wale nyama CHOMA...hakuna kula ugali wala wali [emoji7][emoji7][emoji7]
#Tanzania kwanza [emoji7]
#Chifu Hangaya na wateule wake watiifu [emoji7][emoji7]
eehKwani huyu ndio yule Abdul?
hayahusiani kabisa na mshahara wa marupurupu ya mtu,Swali la msingi sana maana mishahara na marupurupu ya ma DC tunayajua.

Kwan umeambiwa hao ng'ombe 200 wanaliwa na mtu mmoja!?nikuulize wewe
lini umekula ng’ombe 200?
unadhani ng’ombe ni senene
wewe umeambiwa wanaliwa na watu wangapiKwan umeambiwa hao ng'ombe 200 wanaliwa na mtu mmoja!?
Je yeye kama ndie anae winda wabaya wake hapo?Nawaza tu usalama wa hizo nyama siku hiyo kama wabaya wake watajipenyeza na kuamua kufanya yao.
Nimeambiwa wanaliwa na watu wengi kias kwamba hao ng'ombe 200 wanapelea.wewe umeambiwa wanaliwa na watu wangapi
wengi ni wangapi?Nimeambiwa wanaliwa na watu wengi kias kwamba hao ng'ombe 200 wanapelea.
Kwani wengi wanaanzia wangapi!? Tunahtaji ziongezwe 100 zingne huku ili ziwe 300.wengi ni wangapi?
vinginevyo wewe ni mdaku tu
Lema amewaonya watu wawe makini na matambiko yanayohusisha nyama 😁Hivi lema yupo wapi siku hizi?