Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sijawahi ku-join JF kwa miaka 15 iliyopita ili kumjua mtu, na sina haja ya kujua mtu humu ndani, so angalia unachokisema! Pili, huwezi kunipangia cha kupost, yaani wewe ni nani unipangie? Nimesema huyo Makonda ni mjinga hana ethics za uongozi, stick hapo sio nje ya verified sijui na upumbavu gani! Otherwise shut up!Kama ungepata nafasi ya kunijua ungebadili kauli yako hii... Na hata bila hivyo tukitumia tu kipimo Cha uandishi wa hapa Itabidi ujitathmini kama akili zako ziko sawa..
It's either uwe na discipline au urudi darasani. Kama sivyo ficha upuuzi wako kwa kupost as anonymous sio verified...
Acha Nikupuuzie tu. Soma ulichoandika mwanzo na Sasa halafu pokea puuzo tu Mkuu!Sijawahi ku-join JF kwa miaka 15 iliyopita ili kumjua mtu, na sina haja ya kujua mtu humu ndani, so angalia unachokisema! Pili, huwezi kunipangia cha kupost, yaani wewe ni nani unipangie? Nimesema huyo Makonda ni mjinga hana ethics za uongozi, stick hapo sio nje ya verified sijui na upumbavu gani! Otherwise shut up!
Ili utengeneze mfumo ni lazima ujue tatizo na namna ya kuweka huo mfumo. Njia za kujua tatizo mojawapo ni mikutano ya hadhara ambayo Kila kiongozi anafanya. Kwanini Kwa Makonda Muone kama anakosea asee??? Ni Kweli Leo tunaona mikutano sio suluhisho la matatizo ya Wananchi???Unadhalilisha watendaji wako mbele ya umma, umma unakushangilia sana.
Ukiondoka baada ya makofi tele umma unabaki na huduma zake duni kama huko nyuma.
Inahitajika mifumo ya kuhakikisha watoa huduma wote wanatimiza wajibu wao vema nyakati zote, bila kuhitaji kufokewa na viongozi wa juu. Hata hivi viongozi wa juu hawawezi kufika pembe zote za nchi kila siku.
Kiongozi atakayeweka mifumo ya kuhakikisha kwamba mfanyakazi yeyote wa serikali asiyewajibika kikamilifu anatemwa, bila kusubiri fokeo la kiongozi wa juu. huyu ndiye atastahili kupigiwa makofi ya umma.
Vinginevyo ni kutwanga maji kwenye kinu.
Watu wenye akili hawawezi kubaliana na matendo na hulka za huyu jambaziWanaBodi..
Kwa wale tunaofatilia siasa za nchi hii kwa ukaribu naamini tunamfatilia na Makonda katika hatua zake zote za uongozi.
Anachokifanya Makonda kwa Sasa toka amerudishwa kwenye ulingo wa uongozi Wa kisiasa ndio kile kile ambacho Watanzania waliowengi ambao ni Masikini waliokata tamaa na kuvunjika Moyo, wanataka kusikia. Na kumbuka hili ndio Kundi kubwa la Wananchi wa Tanzania. Katika muktadha huo utaona umaarufu wa Makonda unaongezeka Kila uchwao. Kwa maana njia anayopita ndio aliyopitia Hayati Magufuli ambapo mpaka Sasa asilimia kubwa ya wanyonge inamkumbuka. Makonda pamoja na kusaidia pakubwa kutatua changamoto za Wananchi katika nafasi anazopewa Ila pia anajijenga Sana kitaasisi (hafanyi makosa) kiasi kwamba ananguvu kubwa ya ushawishi mbele ya Watanzania walio wengi.
Kutokana na Hilo vimeanza Kuibuka vikundi vya watu (japo nyuma vilikuwepo vichache) Ambavyo vinapinga Juhudi hizi za Makonda kiuwazi kwa Kutumia mwanya Mdogo Sana pale anapoteleza kama binadamu kwenye matamshi. Na Hawa ni wale wenye chuki na jamaa either kwa kutumika au kupandikiziwa chuki kutokana na historia "fikirishi" ya Makonda hapo nyuma au kutokana na "ukubwa" anaozidi kuujenga unaowatisha adui zake ambao wanajua kabisa baada ya miaka kadhaa hataweza kudhibitika.
Katika mahojiano yangu binafsi humu mtandaoni na Mitaani na watu kadha wa kadha unagundua wote hawana sababu za msingi za kumchukia Makonda zaidi ya UNAFIKI, UZANDIKI na WIVU, kwa kigezo eti ilisikika kwenye media kipindi Cha JPM kwamba alifanya mambo kadhaa mabaya kwa jamii, kitu ambacho hutukuwahi kupewa ushahidi. So utaona ni chuki binafsi zisizo na maana.
Wadau wanaBodi TWENDE na MAKONDA. Tumsapoti Makonda katika mazuri anayofanya, sababu anaisaidia Jamii. Kupitia yeye anaamsha na wakuu wengine wa mikoa waliolala na taasisi za Serikali. Tuwe wa kwanza kupongeza anapofanya vyema na WA mwisho kuhukumu anapofanya vibaya.
BRAVO, PAUL CHRISTIAN MAKONDA
Hiyo ni njia ya kizamani sana inatumiea na huyu dogo kujikweza tu zipo njia za kisasa za kisayansi ambazo wenzake huwasikii sana lakini wanatumiaIli utengeneze mfumo ni lazima ujue tatizo na namna ya kuweka huo mfumo. Njia za kujua tatizo mojawapo ni mikutano ya hadhara ambayo Kila kiongozi anafanya. Kwanini Kwa Makonda Muone kama anakosea asee??? Ni Kweli Leo tunaona mikutano sio suluhisho la matatizo ya Wananchi???
Ni Kweli Mkuu hutambui kwamba hapo mkutanoni Mwananchi anapozungumza baadae anaitwa na ofisa kuchukuliwa maelezo Zaidi na kufanyia kazi... hili hujui Mkuu??? Hujui mwanzo wa kutengeneza solution au mfumo wa solution ni kujua tatizo lililopo.... Hebu tumpe Pongezi Makonda jamaa tuache vijiba...
Dogo punguza hasira huyo mtu wako hayuko principled, civilized na cultured na manneredTry hide ur foolishness bro by clearing the so seems ambiguity to you. Never attack personality rather attack the topic, if fail then relax, read and take a way out.
Cheers!
Wewe ni Platinum Member na verified so tumia akili kidoogo uliyobakiza kuvukia barabara ili u'comment.
Kama mama alipotoka aliposema 'Kila mtu ale kufutana na urefu wa kamba yake'. Na hatukusikia Tanzania human rights commission wakisema kitu. Yeye Makonda ni nani ulimi usiteleze?Wanaona jamaa anazidi kung'ara.
tunahitaji watu wa kuleta mwamko wa mabadiliko na sio mazoea
Mako anajitahidi. Lkn kuna maeneo anapotoka kidogo
Kama viongozi tunaowategemea kutuvusha ndio wanaongea maneno kama hayo, kama nchi tuna safari ndefu sana.Kama mama alipotoka aliposema 'Kila mtu ale kufutana na urefu wa kamba yake'. Na hatukusikia Tanzania human rights commission wakisema kitu. Yeye Makonda ni nani ulimi usiteleze?
Haya bana MkuuDogo punguza hasira huyo mtu wako hayuko principled, civilized na cultured na mannered
a uHizi nazo ni miongoni mwa mada za kipumbavu mno, nani alisema anamchukia Makonda? Watu wanazungumzia utendaji wake mbovu na sio yeye as an individual, jifunzeni kutofautisha haya mambo vijana. Vyeo vipo na vilikuepo na vitaendelea kuwepo hata baada ya yeyey na nyie, humble yourself
Mikono ina damu za watu zinamlilia...muda utaongea........amekatili uhai wa watanzania wengi sana....WanaBodi..
Kwa wale tunaofatilia siasa za nchi hii kwa ukaribu naamini tunamfatilia na Makonda katika hatua zake zote za uongozi.
Anachokifanya Makonda kwa Sasa toka amerudishwa kwenye ulingo wa uongozi Wa kisiasa ndio kile kile ambacho Watanzania waliowengi ambao ni Masikini waliokata tamaa na kuvunjika Moyo, wanataka kusikia. Na kumbuka hili ndio Kundi kubwa la Wananchi wa Tanzania. Katika muktadha huo utaona umaarufu wa Makonda unaongezeka Kila uchwao. Kwa maana njia anayopita ndio aliyopitia Hayati Magufuli ambapo mpaka Sasa asilimia kubwa ya wanyonge inamkumbuka. Makonda pamoja na kusaidia pakubwa kutatua changamoto za Wananchi katika nafasi anazopewa Ila pia anajijenga Sana kitaasisi (hafanyi makosa) kiasi kwamba ananguvu kubwa ya ushawishi mbele ya Watanzania walio wengi.
Kutokana na Hilo vimeanza Kuibuka vikundi vya watu (japo nyuma vilikuwepo vichache) Ambavyo vinapinga Juhudi hizi za Makonda kiuwazi kwa Kutumia mwanya Mdogo Sana pale anapoteleza kama binadamu kwenye matamshi. Na Hawa ni wale wenye chuki na jamaa either kwa kutumika au kupandikiziwa chuki kutokana na historia "fikirishi" ya Makonda hapo nyuma au kutokana na "ukubwa" anaozidi kuujenga unaowatisha adui zake ambao wanajua kabisa baada ya miaka kadhaa hataweza kudhibitika.
Katika mahojiano yangu binafsi humu mtandaoni na Mitaani na watu kadha wa kadha unagundua wote hawana sababu za msingi za kumchukia Makonda zaidi ya UNAFIKI, UZANDIKI na WIVU, kwa kigezo eti ilisikika kwenye media kipindi Cha JPM kwamba alifanya mambo kadhaa mabaya kwa jamii, kitu ambacho hutukuwahi kupewa ushahidi. So utaona ni chuki binafsi zisizo na maana.
Wadau wanaBodi TWENDE na MAKONDA. Tumsapoti Makonda katika mazuri anayofanya, sababu anaisaidia Jamii. Kupitia yeye anaamsha na wakuu wengine wa mikoa waliolala na taasisi za Serikali. Tuwe wa kwanza kupongeza anapofanya vyema na WA mwisho kuhukumu anapofanya vibaya.
BRAVO, PAUL CHRISTIAN MAKONDA
Mnatia huruma sanaWanaBodi..
Kwa wale tunaofatilia siasa za nchi hii kwa ukaribu naamini tunamfatilia na Makonda katika hatua zake zote za uongozi.
Anachokifanya Makonda kwa Sasa toka amerudishwa kwenye ulingo wa uongozi Wa kisiasa ndio kile kile ambacho Watanzania waliowengi ambao ni Masikini waliokata tamaa na kuvunjika Moyo, wanataka kusikia. Na kumbuka hili ndio Kundi kubwa la Wananchi wa Tanzania. Katika muktadha huo utaona umaarufu wa Makonda unaongezeka Kila uchwao. Kwa maana njia anayopita ndio aliyopitia Hayati Magufuli ambapo mpaka Sasa asilimia kubwa ya wanyonge inamkumbuka. Makonda pamoja na kusaidia pakubwa kutatua changamoto za Wananchi katika nafasi anazopewa Ila pia anajijenga Sana kitaasisi (hafanyi makosa) kiasi kwamba ananguvu kubwa ya ushawishi mbele ya Watanzania walio wengi.
Kutokana na Hilo vimeanza Kuibuka vikundi vya watu (japo nyuma vilikuwepo vichache) Ambavyo vinapinga Juhudi hizi za Makonda kiuwazi kwa Kutumia mwanya Mdogo Sana pale anapoteleza kama binadamu kwenye matamshi. Na Hawa ni wale wenye chuki na jamaa either kwa kutumika au kupandikiziwa chuki kutokana na historia "fikirishi" ya Makonda hapo nyuma au kutokana na "ukubwa" anaozidi kuujenga unaowatisha adui zake ambao wanajua kabisa baada ya miaka kadhaa hataweza kudhibitika.
Katika mahojiano yangu binafsi humu mtandaoni na Mitaani na watu kadha wa kadha unagundua wote hawana sababu za msingi za kumchukia Makonda zaidi ya UNAFIKI, UZANDIKI na WIVU, kwa kigezo eti ilisikika kwenye media kipindi Cha JPM kwamba alifanya mambo kadhaa mabaya kwa jamii, kitu ambacho hutukuwahi kupewa ushahidi. So utaona ni chuki binafsi zisizo na maana.
Wadau wanaBodi TWENDE na MAKONDA. Tumsapoti Makonda katika mazuri anayofanya, sababu anaisaidia Jamii. Kupitia yeye anaamsha na wakuu wengine wa mikoa waliolala na taasisi za Serikali. Tuwe wa kwanza kupongeza anapofanya vyema na WA mwisho kuhukumu anapofanya vibaya.
BRAVO, PAUL CHRISTIAN MAKONDA