Huyu kijana siku akirudi uraiani ndio atafahamu kumbe cheo ni dhamana.Asubiri aone dunia ikimpindukia nakuja kuwa raia wa kawaida ule uwaziri na maono ya P kumrithi Magu ataota kwenye ndoto. Hii ni Tz.
Kuna swala hujauliza kuhusu magari ya serikali.Huku Gwajima, kule Bashite. Watu wanapukutika bado anaaminisha wat kuna ununuzi wa majeneza
Nni tusi kubwa kwa maelfu ya wafiwa! wanaomboleza, misiba kila kona bado kuna dhihaka kama hii
Kwamba, kuna watu wananunua majeneza kueneza uvumi. Tanzania tumefikaje hapa?
Kila siku kuna kitu cha kushangaza dunia, siku hizi ukisoma Media za duniani ni mabaya ya Tanzania
Inafika mahali tunaona aibu hata kujiita Watanzania.
Huyu bwana alisema ni mafua na kuna watu wanatia hofu watu watoke kuchapa kazi.
Leo watu wanapukutika anasema nini tena? Watanzania kuna misiba huko mitaani , ni kuzika tu
Majirani wanatufungia mipaka, sisi bado tunaendekeza uzezeta tu.
KM Bushiru alisema neno kuhusu huyu bwana siku ya mazishi ya Mengi kule Moshi.
Tumechoka na aibu kama Taifa! Tafadhalini kaeni kimya sisi tunazika tukimaliza tutawaambia muongee
JokaKuu Pascal Mayalla Mag3 tindo
Hii nchi ngumu sana. Kweli watu wanunue majeneza kabisa kwa ajili ya kuigiza kuzika?
Asante mkuu. Tuzidi kuvaa barakoa na kukaa meta 2 mtu na mtu😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Pole Sana Mkuu
Hii nchi ngumu sana. Kweli watu wanunue majeneza kabisa kwa ajili ya kuigiza kuzika?
Hii nchi ngumu sana. Kweli watu wanunue majeneza kabisa kwa ajili ya kuigiza kuzika?
Aibu naona mie..Hii nchi ngumu sana. Kweli watu wanunue majeneza kabisa kwa ajili ya kuigiza kuzika?
Ameona haina haja. Aliwaacha tu.Baada ya kuwagundua amewachukulia hatua gani hao waliofanya hivyo?
DeceiverAmeona haina haja. Aliwaacha tu.
Itakuwa unanufaika na misiba inayoendelea kila kona siyo bureVijana waache kuzusha habari mbaya za uongo
Mabeberu hawatawasaidia
Inawezekana, kuna watu wamepewa hela na mabeberu kwa kazi hiyo.Hii nchi ngumu sana. Kweli watu wanunue majeneza kabisa kwa ajili ya kuigiza kuzika?