RC Makonda: Idadi ya maambukizi imepungua Dar, kuna watu walinunua majeneza na kupiga picha ili kuzua taharuki

RC Makonda: Idadi ya maambukizi imepungua Dar, kuna watu walinunua majeneza na kupiga picha ili kuzua taharuki

Huku Gwajima, kule Bashite. Watu wanapukutika bado anaaminisha wat kuna ununuzi wa majeneza

Nni tusi kubwa kwa maelfu ya wafiwa! wanaomboleza, misiba kila kona bado kuna dhihaka kama hii

Kwamba, kuna watu wananunua majeneza kueneza uvumi. Tanzania tumefikaje hapa?

Kila siku kuna kitu cha kushangaza dunia, siku hizi ukisoma Media za duniani ni mabaya ya Tanzania

Inafika mahali tunaona aibu hata kujiita Watanzania.

Huyu bwana alisema ni mafua na kuna watu wanatia hofu watu watoke kuchapa kazi.
Leo watu wanapukutika anasema nini tena? Watanzania kuna misiba huko mitaani , ni kuzika tu

Majirani wanatufungia mipaka, sisi bado tunaendekeza uzezeta tu.

KM Bushiru alisema neno kuhusu huyu bwana siku ya mazishi ya Mengi kule Moshi.

Tumechoka na aibu kama Taifa! Tafadhalini kaeni kimya sisi tunazika tukimaliza tutawaambia muongee

JokaKuu Pascal Mayalla Mag3 tindo
Kuna swala hujauliza kuhusu magari ya serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ngumu sana. Kweli watu wanunue majeneza kabisa kwa ajili ya kuigiza kuzika?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Pole Sana Mkuu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Pole Sana Mkuu
Asante mkuu. Tuzidi kuvaa barakoa na kukaa meta 2 mtu na mtu😅😅
 
QUOTE="Cannabis, post: 35342370, member: 201681"]
Mwenye macho haambiwi tazama, je aliwachukulia hatua gani baada ya kugundua hilo?
[/QUOTE]
Unafikiri mpaka aseme hajachukua hatua? Uliishawahi kuambiwa hatua zilizochukuliwa kwa wale "wahuni" wa Kibiti? Unawasikia Siku hizi?
 
Back
Top Bottom