- Sio muhimu kujibu but nitakuelimisha kidogo, kila chenye mwanzo hakikosi mwisho, nilienda USA nikaamua kurudi nilikotoka Bongo, kelele za mlango ni kawaida. Walisema sitaweza bongo walipoona ninapaweza wakasema nimekimbia hahahahahhaa na bado! mtasema mengi sana!
le Mutuz Superbrand
HAHAHAHa mtoto wa kiume unafuatilia mavazi ya watu humu mitandaoni na mpaka kushauri wavae unavyotaka ...hahahaha Isee duhUvae Suti siku hiyo sio hayo manguo yako hilo ni tukio "Spesho".
Mkuu. Amekushauri vizuri tu, usi panick .fanya utupie le sutiz you know !!! Coz siku hiyo ni tukio muhimu na lazima lirushwe kwenye media all over the fuckn world manHAHAHAHa mtoto wa kiume unafuatilia mavazi ya watu humu mitandaoni na mpaka kushauri wavae unavyotaka ...hahahaha Isee duh
le Mutuz Super Brand
Sent using Jamii Forums mobile app
le akili kubwaz atakuita haterExactly..Mtu mafanikio hana..unaandika historia yako ili iweje sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mengi ni msomi wa Kiwango gani mkuu?Mtu asiye kuwa na elimu kuzindua kitambu kilichoandikwa na mwenye elimu. Only, in Tanzania...
Kwa nini usitafute wasomi tu hapa nchini people like Mfuruki, Mengi, et all
Sio kila kitabu umeandikiwa wewe, vingine acha vikupite wasome wenye interest, ila kisicho kufaa wewe cha mfaa mwinginenarudia tena nikimkuta mtu anakesha eti anasoma upumbavu alioandika le mutuz ntamfanyia surgery ya kichwa niko radhi kupewa kesi ya Assault na kufungwa kuliko kuruhusu mtu asome upunguani alioandika Kubwa jinga lemutuz
Sent using Jamii Forums mobile app
Chartered Accountant!
Ana wasomaji wake kina Ruttashobolwa na cocochanelEti superbrand..hii title kapewa na nani??
Mtu anayejielewa hawezi kuacha kusoma nondo za kina R.kayosaki,asome hiki cha huyu mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
dah nimecheka sana aisee[emoji13][emoji13] [emoji13] [emoji13]Hiyo expirience imekufanya uwe nani!
Iv ungekua Baharesa ingekuaje?