Khaaaaah mam na mie nmeshangaa hapo tyuuh, au labda sangoma akamuambia wakati wa kuumwa usikae nyumbani hadi deal liwe done, [emoji19][emoji19]Sallam nae kasimulia eti Tale alihamia kwa Sallam kisa anaogopa kuwaambia watoto mama yao yupo wapi. Hivi mkeo anaumwa kalazwa ndo muda unatakiwa uwe na wanao karibu. Na alitakiwa awaambie wanae ukweli. Au roho ilikuwa inamsuta ?Kuugua kwa Shamsa kuna mauza uza mengi.
tusipokuwa makini kila kitu tutaweka for funny yaani hata baba yako akifariki mtu ataanza kujigamba kuwa ameachiwa hiki na hiki..na swala la msiba tutaliacha tuHiyo niliikuta kwenye misiba ya kijaluo.
Imani haba ni utumwa sana, yani tangu nizaliwe nasalimiana na Watu mikono kila siku afu leo hii akurupuke Mpumbavu mmoja kunizuia kisa nitachukuliwa nyota?Nyota inaibiwaje kwa Watu Kusalimiana kwa kupeana Mikono yao? Naomba ujuzi ili nami nikalazimishe kupeana Mkono na Tajiri Bill Gates Ndugu.
We ni Manengelo? "Ashakum si matusi'Shem shem...hapana sio Koo ya Kanda ya ziwa huyo!..huyo mrundi
Wabongo wape kichwa cha habari mengine watamalizia wenyewe,tena huyu ni mwanaume kabisa.
Nimecheka kwa sauti kubwa mno hadi nimepaliwaWanamuziki wengi wa bongo flavor ni vigagula hasa hao akina tale na salama
Ni masharti ya MgangaSallam nae kasimulia eti Tale alihamia kwa Sallam kisa anaogopa kuwaambia watoto mama yao yupo wapi. Hivi mkeo anaumwa kalazwa ndo muda unatakiwa uwe na wanao karibu. Na alitakiwa awaambie wanae ukweli. Au roho ilikuwa inamsuta ?Kuugua kwa Shamsa kuna mauza uza mengi.
Bashite na Meko ndio michezo yao.Watanzania wanaamini ushirikina kupita kiasi. Miaka michache iliyopita kuna taasisi nadhani ya USA ilifanya utafiti katika baadhi ya Nchi za Afrika ikiwemo Tanzania na Nigeria, nilishangaa sana hitimisho lao kwamba katika hizo baadhi ya Nchi za kiafrika Tanzania ilikuwa ni kinara wa kuamini kwenye ushirikina.
Bashite na Meko ndio michezo yao.
Wanajaza waganga kama 50.
Sio...mie Wangari..ashakum mwenyewe😆We ni Manengelo? "Ashakum si matusi'
Wanapuliza balaa!Nimecheka kwa sauti kubwa mno hadi nimepaliwa