Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Malipo ni hapa hapaChadema ni wauaji wakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malipo ni hapa hapaChadema ni wauaji wakubwa
Kwa hiyo chadema mnataka kulipiza kisasi?Makonda jiulize kwanini unakoswa koswa ? Malipo ni hapa hapa
Huyu jamaa akili zote kumbe zimemezwa na ile sambwanda kwamba ataishi milele?Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.
Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”
Mambooo,mzee sherekea nasi makonda kaja . ShikamoorDahhhh.....😜
Siasa hizi yaani watu wazima tuna sokotwa laivu, Mungu atusaidie tu...🤣
Awaulize aliowadhulumuKwa hiyo chadema mnataka kulipiza kisasi?
Ukimfatilia kwa umakini huyu pimbi utagundua Kuna damu za watu zinamuandama anauchizi flani hiviMwenye tuhuma za uuaji anapo kiogopa kifo!
🤣🤣🏃🏾♀️🏃🏾♀️Mwenye tuhuma za uuaji anapo kiogopa kifo!
Kwani kwenye ziara zake mikoani alikuwa akiwahoji viongozi wa chadema? maswali mengine unahisi huyu jamaa anaeuliza yupo kwenye ndoa ya jinsia moja!!Kwa hiyo chadema mnataka kulipiza kisasi?
Inashangaza wale wanaomteua hawaoni uchizi wakeUkimfatilia kwa umakini huyu pimbi utagundua Kuna damu za watu zinamuandama anauchizi flani hivi
Kwa hiyo chadema mnataka kulipiza kisasi?
Kwani kufa ni adhabunimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”
Naiona demokrasia inavyo enda kubakwa laivu huko Chugaree....😜😜Mambooo,mzee sherekea nasi makonda kaja . Shikamoor
Nenda wewe mkuuWampasue tu hana faida yoyote hapa duniani
Niende wapj?Nenda wewe mkuu