RC Makonda: Nimekoswa koswa mara 3 kupoteza maisha

RC Makonda: Nimekoswa koswa mara 3 kupoteza maisha

Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.

Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”

Kwani Makonda hajui kwamba wapo wahuni wa Dunia wakitaka hawazuiliki,
 
Mungu yupi huyo anayelinda majambazi na wauaji? Kama ni huyu tunayemuabudu nina hakika amekupa wewe Makonda muda wa kutubu! Hata hapa ulipopelekwa ni fursa ya mwisho ya toba! Bila hivyo utakumbana na mkono wa chuma kama yule muovu aliyekutuma DSM
 
Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.

Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”

Cheap popularity
 
Namwombea latifa latiti
na kesho nikifa awe fititi
na majita rafiki kiki
wanangu wa faida navikiki

vibunda vingi mfukoni
Tukifa twende peponi
wanafiki wote motoni
wakaisome nambaaa...
 
Alichosahau kutuambia yeye kaua wangapi hadi sasa.

Maana waliosalimika tunawajua kabisa kwa mfano Mohamed Dewji, Tundu Lissu , Roma Mkatoliki na wengineo wengi.
EPp85PUWsAMUqDW.jpg
images.png
images (14).jpeg
 
Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.

Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”

Kuna mkosi mkubwa sana pale mtu akianza kuzungumzia kuhusu kunusurika kifo mara kwa mara kwa kuwa huwa haichukui muda kabla hakijamkuta. Kiroho maandiko yanasema Ibilisi ni mshtaki, kwa hiyo hachelewi kukurudishia matamanio yako.

Ebu jaribu kuchunguza watu mbalimvali waliowahi kuelezea hadharani kuhusu majaribio ya wao kutaka kujiuwa, kuuawa ama kukabiliwa njama za kuuawa, mara nyingi huishia huko huko. Lakini wakati mwingine "antenna" za Gamboshi humfanya mtu kukataa vitu vilioandaliwa maalum kwa ajili ya matumizi yake.
 
Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.

Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sita kufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”

Wange. Muua kabisa ajiulize yeye kauwa wangapi si na wao walipenda kuishi kama yeye.
 
Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.

Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”

Mbona hatwambii ilikuwaje alipo kimbia kutoka kwa Trump?
 
Back
Top Bottom