Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hata huko hatopata wa kumuunga mkonoPaul Makonda akiendelea na hizi kiki tutampeleka kwenye jumba la sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huko hatopata wa kumuunga mkonoPaul Makonda akiendelea na hizi kiki tutampeleka kwenye jumba la sanaa
Kwanza mpaka leo hii hajawahi kukanusha au kutolea marufuku aliyopigwa na USA kukanyaga nchini kwao.Makonda jiulize kwanini unakoswa koswa ? Malipo ni hapa hapa
Daima muongo hanaga aibuEti mungu,mungu yupi huyo?? Janja janja fc
Anasahau alio wakosakosaMuuaji anasimuliab alivyokoswakoswa?
Anapenda kukoswakoswa? Basi ngoja waje wamjaribu tuone kama watamkosa.
Wangemtupa angalau pale segadance angalau Kwa mwezi mmojaMwenye tuhuma za uuaji anapo kiogopa kifo!
Ngoja niende Sumbawanga kwa ajili yake.Paul Makonda akiendelea na hizi kiki tutampeleka kwenye jumba la sanaa
Sasa hayo yote nani kamuuliza? Huyu jamaa anapenda sifa sana.Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.
Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”
mbona yeye kawapoteza wengiMkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.
Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”
Mwuaji anayehofia kivuli chakeMkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.
Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”
Alishazoea wakati wa mwendazake akitoa boko kama hili anaagiziwa majini wa kumlinda kutoka Chato na KolomijeMwambieni aache uongo.
Hadi aseme kubabeki😂Bado hujasema vizuri.
Acha kujifariji. Simama kwenye haki usionee kudhulumu wala kutisha watu. Kila nafsi itaonja mautiMkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa.
Hapa nilipo ni matokeo ya maombi, bila maombi Makonda asingekuwepo. Hata kwenye ziara zangu za uenezi, nimekoswa koswa kama mara tatu hivi kupoteza maisha, lakini kwa neema na mapenzi ya Mungu tuko hai, na mimi nawaambia sitakufa bali nitaishi niyasimulie matendo makuu ya Mungu.”