RC Makonda: Nimekoswa koswa mara 3 kupoteza maisha

makundu sijui kwanini hataki kubadilisha njia zake mbona Ma-RC wenzake wanaenda walikoteuliwa kimyakimya yeye ni nani hata aende na misafara
 
Sasa hayo yote nani kamuuliza? Huyu jamaa anapenda sifa sana.
 
mbona yeye kawapoteza wengi
 
Mwuaji anayehofia kivuli chake
 
Acha kujifariji. Simama kwenye haki usionee kudhulumu wala kutisha watu. Kila nafsi itaonja mauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…