RC Makonda: Yeyote anayeenda katika eneo la manunuzi lazima avae barakoa. Kwenye misongamano watu wakae umbali wa mita 2

Mshirika wenu Lwakatale anawaita , alishangila Zitto kuuawa
 
Jiambukize na wewe basi ili umkomoe Makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Yan kuna watu hata wake zao wakiongeza chumvi kwenye chakula kwa bahati mbaya watasema chadema inahusika
 
Kwa hali hii lazima Lumumba mdharaulike mbona mnamuabisha katibu wenu polepole au lazima kuanzisha Uzi ukosoe na chadema
 
Yaani akili zako umeziacha nyumbani waoshee vyombo umekurupuka to mpaka town box tupu unaongea upuuzi. Kuweni serious kwenye mambo ya msingi kama haya, siasa ina wakati wake kwa sasa priority ni CORONA watu tunahangaika hatujui kesho itakuwaje hlf mnaleta mzaha namna hii! Bitch!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…