RC Makonda: Yeyote anayeenda katika eneo la manunuzi lazima avae barakoa. Kwenye misongamano watu wakae umbali wa mita 2

RC Makonda: Yeyote anayeenda katika eneo la manunuzi lazima avae barakoa. Kwenye misongamano watu wakae umbali wa mita 2

Huvai mask ili kujikinga na virusi wewe unaevaa, bali unavaa ili kama unaumwa basi utakapokohoa virusi visiende mbali sana hivyo kupunguza uwezekano wa kuambukiza wengine, hivyo ni muhimu kila mtu avae ili tulindane, umeelewa?
Kama huvai kujikinga na virusi kwa nini wafanyakazi wa hosptali wanavaa ??

Surgical mask zinazuia hadi 90% ya virus.. kwahio kama uko kwenye mikusanyiko au uko karibu na mtu anayekohoa ni vyema ukavaa mask ili kujikinga na hizo droplets mtu anazorusha akikohoa au akisneez.

Umeelewa??
 
Vipi alipokuwa akiongea hayo ,yeye mwenyewe alikuwa kavaa barakoa?

Au alikuwa akirusha mate tu.
 
Mask moja inauzwa sh. Elfu 2 mpaka 3500, wataalamu wa afya wanashauri kubadilisha mask kila baada ya saa 4, hivyo basi mtu mmoja katika familia atalazimika kutumia mask tatu kwa siku ambazo ni sawa na sh. Elfu sita! So kwa familia yenye watu 5 itatumia sh. Elfu 30 per day kwa matumizi sahihi ya mask!: je, ni kwa kiasi gani watz wataweza kumudu garama hizi ilihali wengi hata mlo mmoja kwa siku ni changamoto?
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)

Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Mbona tulisha ambiwa, watoa taarifa wa corona ni fulani na fulani. Huyu Makonda kaingizwa like ni kwenye list?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa umesoma nlchoandika hapo chini

Naona umenimind knoma [emoji23][emoji23]

Hata mara ya mwisho kwenda chachi sikumbuki

Kuna jamaa angu ndo akanambia ktabu cha mathayo kmefutwa sijui kweli
Hivi kweli na akili zako unaenda kanisani kufanya nini?

Upstairs uko vizuri kweli?
Yani hadi Makonda akuambie usiende kanisani ndio utaacha kwenda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huvai kujikinga na virusi kwa nini wafanyakazi wa hosptali wanavaa ??

Surgical mask zinazuia hadi 90% ya virus.. kwahio kama uko kwenye mikusanyiko au uko karibu na mtu anayekohoa ni vyema ukavaa mask ili kujikinga na hizo droplets mtu anazorusha akikohoa au akisneez.

Umeelewa??
Wanavaa N90, sio vitambaa vya khanga, pia wanajikinga na macho kwa njia mbali mbali
 
Back
Top Bottom