Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Atakuwa ameanza kuwa mvivu huyu.Makondo toka kachape kazi,mask ya nini? Umeambiwa huu ugongwa unaenezwa kwa hewa?Yaani mwanaume kamili anaogopa corona...hii ni aibu kwa RC Makonda!
Jack Ma ametoa bure hivi tu eti?
Mnaanza kufanya yaliyokua inabidi yaanze day one!