Angetoa walau wiki moja watu wavinunue, na hili litawezekana kwa barakoa za vitambaa maana watu wataweza kuzitumia kwa muda mrefu. Ukishaitumia siku hiyo unaifua kwa ajili ya kesho.....zile medical mask za N95 gharama yake ni kubwa, maana itatakiwa ubadilishe kila siku, ni bora ziachwe kwa ajili ya wahudumu wa afya...