Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)
Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Ameikubali Chadema, gwanda la kijani tupa kule asante kamanda.Nimepata habari hii toka ukurasa wa instagram wa Millard Ayo. Picha ina maelezo kamili.
View attachment 1422568
=================================
Tulishatoa ushauri juu ya hili pia Naomba ifanywe kwa dharura: Napendekeza kuanzia Jumamosi iwe ni marufuku mtu kutoka nje ya nyumba yake bila kufunika uso kwa kitambaa/ barakoa/ scarf - JamiiForums
Huyo Raisi Magufuli aliteuwa watu wa kuzungumzia Corona.Kila mtu mdomo ukimuwasha anaongea chake. Bora rais aje atoe muongozo kama ni lockdown au curfew.
Kuliko huu utoto unao fanywa, mara take away mara kuvaa masendeu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nadhani tuzingatie ujumbe uliokusudiwa. Anachomaanisha ni kuwa chochote utakachoenda kununua, ununue na kuondoka. Usinunue kuku choma na kukaa baa. Ukiweza nunua kuku wako, nenda ukale ukiwa nyumbani.Jamaa ni zero kweli kwamba nikienda kununua vocha iwe take away, pipi ziwe take away, gest nibebe kitanda nikalale, mafuta sheli niende na dumu! labda kama umenukuu vibaya ila kama kasema haya basi ni zero bashite.
Kila mtu mdomo ukimuwasha anaongea chake. Bora rais aje atoe muongozo kama ni lockdown au curfew.
Kuliko huu utoto unao fanywa, mara take away mara kuvaa masendeu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah, kwani hilo agizo we unalionaje?Hili li bashite si walifungie ndani tu kipindi hiki ambacho nchi inapitia vitu serious.. then watamfungulia baadae nchi ikitulia.
Vinapenya😆😆Wengine tunavaa hijab mambo ya kujistir 🧕 na midomo tunafunika ninja
Hivi Serikali kutangaza ' Curfew ' kwa Mkoa wa Dar es Salaam ili kukabiliana na Janga hili baya la CORONA inaogopa nini hasa?
Kwani ukivaa barakoa inakuzuia kusali?Na kanisani twende na barakoa au
. Tutasalije sasa [emoji23]
Jamani si ibada zisitishwe tu
[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)
Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Hahah, kwani hilo agizo we unalionaje?