RC Makonda: Yeyote anayeenda katika eneo la manunuzi lazima avae barakoa. Kwenye misongamano watu wakae umbali wa mita 2

RC Makonda: Yeyote anayeenda katika eneo la manunuzi lazima avae barakoa. Kwenye misongamano watu wakae umbali wa mita 2

Take away ni ishu. Nikienda kununua viazi vitamu sokoni nikute muuzaji ameshavipima na kuviweka kwenye mfuko. Likewise maharage, ndizi, pilipili n.k. Kwenye super markets its ok. Lakini huku kwenye masoko yetu ngoja tuone itakuwaje.
 
Return Of Undertaker,
Huyu jamaa tatizo anaongea sana kuliko vitendo, kila siku marufu kufanya hiki,atakayefanya hivi tutamshughulikia mara sijui nini blah blah blah kibao halafu matokeo chanya HAKUNA.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)

Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Maji yamekorogeka tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walisema ni watu 4 watatoa maelekezo sasa huyu ni wa 5 au?? Manake inaonekana Dar sijui haikuhusika ?? Ndio mana zinatolewa hapa kauli tofauti kila mara
 
Kama huna Barakoa kuwa mbunifu ili kuzuia tafrani baina yako na mgambo wa jiji
F9-BBF054-EF45-4-CFD-955-A-C2-D09-D287-DFA.jpg
 
Walisema ni watu 4 watatoa maelekezo sasa huyu ni wa 5 au?? Manake inaonekana Dar sijui haikuhusika ?? Ndio mana zinatolewa hapa kauli tofauti kila mara
Hizi taarifa ni za Dsm tu kama si mkazi wa DAR NI NGUMUNKUMWELEWA
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)

Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Huyu mtu alipashwa awe Mirembe by now
What an idiot
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)

Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Kwa hiyo wasio na hizo mask wasitoke kwenda kuchapa kazi?si watakufa na njaa?
 
Back
Top Bottom