Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Kama hatuwezi kufunika pua na mdomo kwenye mikusanyiko ya watu basi potelea mbali tupigwe lockdown.Kauli zake nyingi huwa hazitekelezeki, anapenda sana kutoa matamko kuonesha authority aliyonayo, that's all.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania kila kitu hatuwezi.