RC Makonda: Yeyote anayeenda katika eneo la manunuzi lazima avae barakoa. Kwenye misongamano watu wakae umbali wa mita 2

RC Makonda: Yeyote anayeenda katika eneo la manunuzi lazima avae barakoa. Kwenye misongamano watu wakae umbali wa mita 2

Ili kuepuka corona wakaazi wa Dar wapigwa marufuku kula kwa mama lishe, hili agizo siyo kama linakiuka aliyoagiza Rais na waziri mkuu kuwa hawata fungia watu ndani!

Kitendo cha kupiga marufuku watu kula kwa mama lishe maana yake mama lishe marufuku kutoa huduma, Hiyo ni lockdown tayari.

Chanzo: Gazeti la Mtanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Ana boa
 
Nafikiri kasema watu wafanye take away wasile hapo hapo...
Hata hvo huku kitaa chetu mama lishe wengi mchana wanakuletea msosi sehemu yako ya biashara so hakiharibiki kitu..

Sehemu pekee ambazo naona mama lishe wanaleta msongamano ni kwny masoko na nje ya viwanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi kama hiki taifa lihitaji viongozi makini sio hawa wanasiasa uchwara na wapiga debe
 
Nafikiri kasema watu wafanye take away wasile hapo hapo...
Hata hvo huku kitaa chetu mama lishe wengi mchana wanakuletea msosi sehemu yako ya biashara so hakiharibiki kitu..

Sehemu pekee ambazo naona mama lishe wanaleta msongamano ni kwny masoko na nje ya viwanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi mazingira ya site? Mfano watu wanaojenga barabara, watakula wapi? Maana bila mama ntilie sehemu zingine ni shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaaan Hutu jamaa kila anachoamua ni pumba tu sasa mama lishe wasiuze basi wafunge na masoko yote.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bwana Paul Makonda amesema kuanzia Aprili 20 siku ya Jumatatu kila mtu atakayepanda Daladala na anayekwenda kwenye eneo la manunuzi yeyote lazima awe amevaa Barako (Mask)

Poa siku hiyo ya Jumatatu ameelekeza biashara zote zifanyike katika mfumo wa 'Take Away', hivyo mtu akienda sehemu anunue na aondoke.
Mikusanyiko bado ipo mingi atumie mbinu mbadala kuipunguza ading'ang'anie mask tu
 
Kwa maana nyingine mamalishe hawaruhusiwi kuwepo kipindi hiki Cha Corona.... Maana wateja wao hawatakuwepo..
 
HAYA MATAMKO YAO YA KILA SIKU WANABWABWAJA TU, MAJI YAKIZIDI UNGA KUNA VITU VITAJIFUNGA VYENYEWE AUTOMATICALLY
 
Yaaan Hutu jamaa kila anachoamua ni pumba tu sasa mama lishe wasiuze basi wafunge na masoko yote.

Inatumika nguvu kubwa kuzuia mikusanyiko ktk bar...

Ni heri wangezuia shughuri za bar, hotel, mamalishe, usafiri wa abiria kwa kutoa tamko linaloeleweka... Wakati huohuo watoe na njia mbadala wa kupata huduma hizo.
 
Back
Top Bottom