Tetesi: RC Mnyeti kufukuzwa kazi!

Tetesi: RC Mnyeti kufukuzwa kazi!

Cd akabaki tena kwa kuongezewa madaraka, unajua ni kwanini alipelekwa juu zaidi?....... Takukuru mfukoni alipokuwa mdogo sasa wakumgusa atakuwa ni yuleeeee...
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.

Tetesi za kweli ni kuwa Atapandishwa Cheo.
 
Serikali hii kama ya kambare baba ana masharubu,mama ana masharubu hadi watoto wana masharubu
 
Hakuna kitu hapo.Huyo RC ametoa picha jinsi serkali ilivyo kwasasa.
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Mmm sio rahisi kihivyo kwanza yule jamaa anaringia cheo si mnajua yuko kule upande wapili?
 
Makonda katukana watu wazima juzi mpaka wengine wamepata kifafa lakini yupo tu anadunda sembise Nyeti
 
Hivi huko manyara hakuna hata wakali wa kudungua kwa kutumia mishale yenye sumu na kupotelea maporini?...ni heri hata kauli za kikoloni zilikuwa na uafadhali kuliko hizi!idiot kabisa!
 
Hivi huko manyara hakuna hata wakali wa kudungua kwa kutumia mishale yenye sumu na kupotelea maporini?...ni heri hata kauli za kikoloni zilikuwa na uafadhali kuliko hizi!idiot kabisa!
wale wasichana wa Biko Haram
 
F
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Forget about that
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Huyo kaka ni moja wa mashithole vipenzi vya mkuu wao, na akili zake za kipumbavu ni taswira halisi ya akili za mamlaka iliyomwajiri!
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Sidhani. Hizo ni fikira zako tu.
Ingalikuwa rahisi kiasi hicho Bashite leo asingelikuwa kazini.
 
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.

Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.

Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Ujinga mwingine mnatulerea.Mlishindwa kumfitini Olesendeka juzijuzi hapa sasa mnaibua mengine.Najua mmeanza kupagawa Kinondoni na Siha.Ngoja kwanza mgaragazwe halafu ndio tuongee mambo mengine.Sasa hivi hatusikilizi ujinga.
 
Back
Top Bottom