Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
trueSio kwa kichwa kile cha magogoni!! Hilo sahau!!!! Nchi ya malimbukeni na washamba hii!!
Hivi nyie inawaumiza sana mbona Chadema waligomea kushirikiana na serikali ya ccm? Au mmesahu kuwa madiwani wenu wa Dar es salaam wakiongozwa na Yule Meya wa Ubungo ambaye alikuwa jambazi kugomea ushirikiano na serikali hapa Dar es salaam? Ujinga ni mzigoHabari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.
Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.
Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Wewe naww huna akili...kama alinunua madiwani hakutimuliwa..atatimuliwa kwa hilo?Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.
Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.
Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Habari zinazo zunguka zunguka ni kuwa, kauli aliyotoa RC wa Manyara kuwa hawezi kushirikiana na madiwani wa vyama vingine vya siasa na kuwa anampongeza DC wa Mbulu kwa kukataa kushirikiana na madiwani hao katika shughuli za Maendeleo, huenda ikampotezea kazi kwani kaenda kinyume na aliyemteua kwa vile yeye anasema Maendeleo hayana vyama, huyu anamfanya ni muongo.
Kitendo cha Takukuru kumbeba kwenye ushahidi wa rushwa kimempa kiburi Mnyeti na hapa kaingia choo cha kike bila kujua kuwa kauli hiyo itamgharimu.
Within no time tutasikia tamko toka ofisi kuu.
Hizo ndizo point wapinzani wanatengenezwa kwa ajili ya 2020chakaza, ya makonda umesahau.... chapa kazi.... umesahau. Hilo halipo hata mbingu zishuke... Magogoni??????????
It is very expensive kulundika watumia mguvu bila kutumianakili. Itaendelea kuigharimu ccm.Huyu RC anaoekana ana mdudu kichwani..!!Hizi chuki anazotengeneza miongooni mwa Watanzania kwa sifa za kijinga na kipumbavu zitamgharimu one day......!!!Asipothibitiwa kuna siku atasababisha mauaji ya KIMBARI......!!
Halafu mkuu ni ndugu wa karibuSio kwa kichwa kile cha magogoni!! Hilo sahau!!!! Nchi ya malimbukeni na washamba hii!!